Zitto ahaha kusaka Rais
KUNA uwezekano mkubwa kuwa mgombea urais kupitia chama kipya cha ACT-Wazalendo asiwe Profesa Kiti
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
JK ahaha kupata ushauri
Dodoma. Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alilazimika kutafuta ushauri kutoka kwa watu mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha kazi ya mchujo wa wagombea urais kuisha salama, chama hicho kilisema jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJXU7v1nKG1EUDuOanm2*SPd08WiHCIFqmVgIghUMWEa*3ykTjwtGQRHL3nvMfIpO92rQBScH2gPuNkMuZMqA6f/rayc.gif?width=650)
RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!
Imelda Mtema ZAIDI ya dakika 57, zilitosha kumtoa ‘jasho jembamba’ msanii mwenye nyonga laini na kiuno bila mifupa, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuhaha ili afanikiwe kumfikia kwa ukaribu Rais Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HALRex
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq32jslxILUSZgH9aCJoWUugMJkA1UluG5YH43ArMQie4eMeIeXhfGmHrOlCuVckMezBO1PIU-Zn*Ew1FbMKzKAt/biharusi.jpg)
BI HARUSI ATOROSHWA, MAMA MZAZI AHAHA!
Stori: Makongoro Oging’
KAZI sana! Mkazi wa Buguruni, Rukia Nassor amekimbilia Kituo cha Polisi Buguruni jijini Dar kutoa taarifa ya bintiye Saida Said (18) (pichani)kutoroshwa nyumbani kwake siku chache kabla ya ndoa.
Alipofika kituoni hapo, mwanamke huyo alimtaja mtu mmoja kwa jina moja la Shaban kwamba ndiye aliyefanya kitendo hicho. Bi harusi mtarajiwa, Saida Said (18) aliyetoroshwa siku chache kabla ya ndoa. ...
9 years ago
Habarileo01 Nov
Kibadeni ahaha kuiokoa JKT Ruvu
KOCHA Mkuu wa JKT Ruvu, Abdallah Kibaden amesema timu hiyo haitashuka daraja msimu huu na hivi karibuni itaanza kupata ushindi baada ya kupata kikosi kazi cha wachezaji 15.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Sitta ahaha kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba
>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta anahaha kulinusuru Bunge hilo, baada ya wajumbe ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vinavyoendelea mjini Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPnQCFfCZTvMReLlZx5WBZPHiLIEWpvHP*FbrEVznHs-szVouOwQwlA3S5hvdB-hk0JJ2YdYhiTuYRuMSwAsrbq/bui.jpg)
AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI
Stori: Imelda Mtema UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. “Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete ahaha kupata ushauri
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alilazimika kutafuta ushauri kutoka kwa watu mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha kazi ya mchujo wa wagombea urais kuisha salama, chama hicho kilisema jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdZyjtysdz2HW9DTn7OzpTv5zIBMF4M3T0BVnRRQG-8g6DLLEpu6GKIOwEm8LKAgteyH-b5SZicfTzAxs1FMywG/2.jpg?width=650)
ZITTO: NAFAA KUWA RAIS
Na Mwandishi Wetu
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT- Tanzania, Zitto Kabwe (pichani) ametaja sifa za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye angependa aongoze nchi na kusema kwamba yeye ana sifa hizo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe Akizungumza na kituo kimoja cha runinga mwishoni mwa wiki iliyopita, Zitto alisema mtu anayetaka kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe na uzalendo na asiwe...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Rais Magufuli tutengenezee mifumo - Zitto
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemshauri Rais John Magufuli kutengeneza mfumo utakaowalazimisha watumishi wa umma kuwajibika badala ya kuvamia maofisini na kuwawajibisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania