Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto ahaha kusaka Rais

KUNA uwezekano mkubwa kuwa mgombea urais kupitia chama kipya cha ACT-Wazalendo asiwe Profesa Kiti

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

JK ahaha kupata ushauri

Dodoma. Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alilazimika kutafuta ushauri kutoka kwa watu mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha kazi ya mchujo wa wagombea urais kuisha salama, chama hicho kilisema jana.

 

10 years ago

GPL

RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!

Imelda Mtema ZAIDI ya dakika 57, zilitosha kumtoa ‘jasho jembamba’ msanii mwenye nyonga laini na kiuno bila mifupa, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuhaha ili afanikiwe kumfikia kwa ukaribu Rais Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HALRex

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI ATOROSHWA, MAMA MZAZI AHAHA!

Stori: Makongoro Oging’
KAZI sana! Mkazi wa Buguruni, Rukia Nassor amekimbilia Kituo cha Polisi Buguruni jijini Dar kutoa taarifa ya bintiye Saida Said (18) (pichani)kutoroshwa nyumbani kwake siku chache kabla ya ndoa.
Alipofika kituoni hapo, mwanamke huyo alimtaja mtu mmoja kwa jina moja la Shaban kwamba ndiye aliyefanya kitendo hicho. Bi harusi mtarajiwa, Saida Said (18) aliyetoroshwa siku chache kabla ya ndoa. ...

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni ahaha kuiokoa JKT Ruvu

KOCHA Mkuu wa JKT Ruvu, Abdallah Kibaden amesema timu hiyo haitashuka daraja msimu huu na hivi karibuni itaanza kupata ushindi baada ya kupata kikosi kazi cha wachezaji 15.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ahaha kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba

>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta anahaha kulinusuru Bunge hilo, baada ya wajumbe ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vinavyoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI

Stori: Imelda Mtema UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. “Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete ahaha kupata ushauri

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alilazimika kutafuta ushauri kutoka kwa watu mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha kazi ya mchujo wa wagombea urais kuisha salama, chama hicho kilisema jana.

 

10 years ago

GPL

ZITTO: NAFAA KUWA RAIS

Na Mwandishi Wetu
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT- Tanzania, Zitto Kabwe (pichani) ametaja sifa za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye angependa aongoze nchi na kusema kwamba yeye ana sifa hizo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe Akizungumza na kituo kimoja cha runinga mwishoni mwa wiki iliyopita, Zitto alisema mtu anayetaka kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe na uzalendo na asiwe...

 

9 years ago

Mwananchi

Rais Magufuli tutengenezee mifumo - Zitto

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemshauri Rais  John Magufuli kutengeneza mfumo utakaowalazimisha watumishi wa umma kuwajibika  badala ya kuvamia maofisini na kuwawajibisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani