ZITTO: NAFAA KUWA RAIS
![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdZyjtysdz2HW9DTn7OzpTv5zIBMF4M3T0BVnRRQG-8g6DLLEpu6GKIOwEm8LKAgteyH-b5SZicfTzAxs1FMywG/2.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT- Tanzania, Zitto Kabwe (pichani) ametaja sifa za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye angependa aongoze nchi na kusema kwamba yeye ana sifa hizo. Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe Akizungumza na kituo kimoja cha runinga mwishoni mwa wiki iliyopita, Zitto alisema mtu anayetaka kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe na uzalendo na asiwe...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Jul
Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSY2jdJ3COKyOB**kQ3wdJO8gxg6Z0al7rjdpxDDJjzWl4BrS3uTHT6MIM3Ig9O2P1dUj1TN-ZJxDt3yg9vTkT4/zittto.jpg?width=650)
ZITTO AZIDI KUWA MZITO CHADEMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--x4Ruk7HvNc/VRcGaVvHqMI/AAAAAAAAEnc/JPIiQBut3bg/s1600/Zitto%2BKabwe-ACT%2BLeader3.jpg)
ZITTO KABWE ACHAGULIWA KUWA MKUU WA CHAMA CHA ACT TANZANIA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Wema: Ningependa Rais Kikwete Aendelee Kuwa Rais
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amenukuliwa na gazeti la Mwananchi la jana akieleza kuwa angependa Rais Jakaya Kikwete ambaye anamaliza muda wake wa urais unamalizika mwishoni mwaka huu, agombee tena kwa awamu nyingine.
Akizungumza kuhusu siasa Wema alisema yeye ni shabiki mkubwa wa CCM, ingawa kuna baadhi ya vitu vinamkera na inabidi vifanyiwe kazi ili kujiimarisha.
Alisema anaupenda utendaji wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kutokana na vitu vingi alivyofanya katika kipindi cha...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Zitto ahaha kusaka Rais
KUNA uwezekano mkubwa kuwa mgombea urais kupitia chama kipya cha ACT-Wazalendo asiwe Profesa Kiti
Mwandishi Wetu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...