Zitto: Chenge afungiwe uongozi wa umma
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
WAKATI Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma ikiendelea na mvutano wa sheria na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema mbunge huyo alistahili kufungiwa kushiriki kwenye uongozi wa umma muda mrefu.
Zitto aliliambia Mtanzania kuwa tangu izuke kashfa ya rada ambayo pia Chenge alihusishwa, tume ya maadili ilipaswa kumuhoji na kumchukulia hatua kali za sheria.
“Chenge...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
Chenge agoma kuhojiwa Baraza la Maadili ya Umma.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam
Mbunge wa Bariadi Magharibi, CCM, Andrew Chenge amegoma kuhojiwa na Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyomwita kwa mahojiano dhidi ya tuhuma zinazomkabili za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma, baada ya kuwasilisha hoja ya kutaka kusimamishwa kwa mahojiano hayo, kwa kuwa suala hilo liko Mahakamani.
Kwa mujibu wa Hati ya Malalamiko iliyotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Umma, Chenge anakabiliwa na Makosa ya...
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Exclusive: Chenge apandishwa ‘kizimbani’ ahojiwa kukiuka maadili ya viongozi wa umma
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akijianda kutoka nje ya ukumbi wa Karimjee ausbuhi ya leo.
…Maamuzi magumu kutolewa kesho Februari 26
Na Andrew Chale wa modewjiblog
LISAA limoja lililopita Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge amepandishwa kizimbani katika kikaango cha kukiuka maadili ya viongozi wa umma, chini ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili lililoketi, jijini Dar es Saalam asubuhi ya leo.
Katika shauri linalomkabili Chenge ni dhidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Zitto ataka kampuni ya umma bandari ya Dar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DKT. SHEIN AZUNGUMZAA UONGOZI WA OFISI YA RAIS,KAZI NA UTUMISHI WA UMMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3NlzR7eyy5w/U2OWXXyJI5I/AAAAAAAFe6g/DXolOm63GqA/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hl0f2VUPGNg/VVIVCgsYiJI/AAAAAAAAtrc/VdiZA6Z_5-I/s72-c/zkabwe.jpg)
Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hl0f2VUPGNg/VVIVCgsYiJI/AAAAAAAAtrc/VdiZA6Z_5-I/s640/zkabwe.jpg)
Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.
Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
ZITTO ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UONGOZI ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s640/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hiyo muda mfupi baada ya kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili ambapo katika shauri hilo la uchochezi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h_yNIH2aGZY/XmetDjz9t7I/AAAAAAALid0/9tF_KPS3gw08ZA_ByZZ7rJRwRnpSbsmFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1b21ac64-f68a-49c8-b296-c5224f8e2523.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WANAWAKE WAANZISHA MTANDAO WA KUWASAIDIA KUFIKIA MALENGO CHANYA YA UONGOZI
Charles James, Michuzi TV
MTANDAO wa Watumishi wa Umma Wanawake ujulikanao kama Viongozi Wanawake Wanaochipukia Tanzania’ (EWLT) wamekuja na mpango wa kuleana na kubadilishana uzoefu katika kufikia malengo chanya ya kiuongozi.
Akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo mmoja wa waanzilishi, Bi Glory Mboya kutoka
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) amesema mtandao huo una lengo la kukuza Vijana wakike katika kufikia ngazi za juu za uongozi.
Bi Mboya amesema mtandao huo utajikita zaidi...