Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto: Chenge afungiwe uongozi wa umma

kabweNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
WAKATI Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma ikiendelea na mvutano wa sheria na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema mbunge huyo alistahili kufungiwa kushiriki kwenye uongozi wa umma muda mrefu.
Zitto aliliambia Mtanzania kuwa tangu izuke kashfa ya rada ambayo pia Chenge alihusishwa, tume ya maadili ilipaswa kumuhoji na kumchukulia hatua kali za sheria.
“Chenge...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Chenge agoma kuhojiwa Baraza la Maadili ya Umma.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam

 

Mbunge wa Bariadi Magharibi, CCM, Andrew Chenge amegoma kuhojiwa na Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyomwita kwa mahojiano dhidi ya tuhuma zinazomkabili za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma, baada ya kuwasilisha hoja ya kutaka kusimamishwa kwa mahojiano hayo, kwa kuwa suala hilo liko Mahakamani.

 

Kwa mujibu wa Hati ya Malalamiko iliyotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Umma, Chenge anakabiliwa na Makosa ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Chenge apandishwa ‘kizimbani’ ahojiwa kukiuka maadili ya viongozi wa umma

DSCN9001

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akijianda kutoka nje ya ukumbi wa Karimjee ausbuhi ya leo.

…Maamuzi magumu kutolewa kesho Februari 26

 Na Andrew Chale wa modewjiblog 

LISAA limoja lililopita Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge amepandishwa kizimbani  katika kikaango cha kukiuka maadili ya viongozi wa umma, chini ya Tume  ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili lililoketi,  jijini Dar es Saalam asubuhi ya leo.

Katika shauri linalomkabili Chenge ni dhidi ya...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge. ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika Bunge Maalum la Katiba (BMK) Andrew Chenge amekataa kuhojiwa mbele ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa umma juu ya tuhuma za kunufaika na fedha zilizotoka katika akaunti ya Tegeta Escrow, wakati alipoitika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto ataka kampuni ya umma bandari ya Dar

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe amependekeza kuanzishwa kwa Kampuni ya umma itakayokuwa inahusika kufanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika bandari ya Dar es Salaam badala ya utaratibu wa sasa ambao ni wa kampuni binafsi.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AZUNGUMZAA UONGOZI WA OFISI YA RAIS,KAZI NA UTUMISHI WA UMMA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais,Kazi na Utumishi wa Umma katika mkutano wa utekelezaji mpango kazi wa robo tatu ya mwaka Julai-Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

 

10 years ago

Vijimambo

Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi


Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.
Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza...

 

5 years ago

Michuzi

ZITTO ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UONGOZI ACT WAZALENDO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMBUNGE wa Kigoma mjini na kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amechukua fomu ya kugombea nafasi ya kutetea kiti cha uongozi wa  Chama cha ACT Wazalendo kwa mhula wa pili na wa mwisho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi Machi mwaka huu.
 
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya  kuchukua fomu hiyo muda mfupi  baada ya kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili ambapo katika shauri hilo la uchochezi...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA UMMA WANAWAKE WAANZISHA MTANDAO WA KUWASAIDIA KUFIKIA MALENGO CHANYA YA UONGOZI


Charles James, Michuzi TV

MTANDAO wa Watumishi wa Umma Wanawake ujulikanao kama Viongozi Wanawake Wanaochipukia Tanzania’  (EWLT) wamekuja na mpango wa kuleana na kubadilishana uzoefu katika kufikia malengo chanya ya kiuongozi.

Akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo mmoja wa waanzilishi, Bi Glory Mboya kutoka
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) amesema mtandao huo una lengo la kukuza Vijana wakike katika kufikia ngazi za juu za uongozi.

Bi Mboya amesema mtandao huo utajikita zaidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani