Zoezi kunasua meli kwenye theluji
Meli ya Australia imo njiani kuelekea Mashariki wa Antarctica kwa ajili ya kunasua meli ya wanasayansi iliyokwama kwenye theluji tangu siku ya jumanne
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Nov
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ripoti kutoka Zanzibar kuhusu ajali ya moto kwenye meli December 15.. (+Audio)
Hii stori imenifikia baada ya kuenea kwenye mitandao pamoja na picha zikionesha tukio la meli kuwaka moto Nimeipata ripoti pia kwenye habari ya ITV kwamba meli hiyo ya MV Royal imepata ajali ya kuwaka moto ikiwa katikati ya safari kutoka Unguja kwenda Pemba, moto huo umeunguza injini za meli hiyo lakini kwa bahati nzuri ikatokea […]
The post Ripoti kutoka Zanzibar kuhusu ajali ya moto kwenye meli December 15.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi
Zoezi la ukaguzi wa Stempu kwenye bidhaa za Filamu latikisa Dar


9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar…..
Headlines za bomoabomoa zimeendelea tena leo Dec 18 ambapo zoezi hilo limeendela kwenye wilaya ya Kinondoni na kubomoa nyumba za wakazi waliokuwa wakiishi maeneo hatarishi hasa bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni Hizi ni picha 20 za tukio zima la ubomoaji linaloendelea muda huu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar….. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU USHIRIKI WA WANAJESHI kWENYE ZOEZI HILO

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Tume inasema kutakuwepo na wanajeshi 6 wa Jeshi la Wananchi katika kila kituo ambao kazi yao ni kusaidia shughuli za lojistiki kama vile kuhamisha vifaa kutoka kata moja kwenda nyingine.
Pia wanajeshi hao watasaidia katika shughuli za kufanya matengenezo madogo madogo ya vifaa yanayoweza kujitokeza wakati wa zoezi la...
10 years ago
Vijimambo
ASKARI POLISI KILIMANJARO WAFANYA ZOEZI KUJIANDAA NA ZOEZI LA UCHAGUZI.
















11 years ago
Vijimambo04 Oct
ZOEZI LA UTOAJI KADI LA ENDELEA CCM NEW YORK KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI TAREHE 11 MWEZI HUU
10 years ago
Bongo522 Feb
New Video: Alicios Theluji — Loved By You
11 years ago
Habarileo17 Jun
Mlima Kilimanjaro wapoteza theluji
MLIMA Kilimanjaro umepoteza takribani asilimia 30 ya theluji kuanzia mwaka 1912 mpaka sasa, Bunge limeelezwa.