Zuma alifuja pesa za Uma ?
Bi Thuli Madonsela, anatarajiwa kutoa ripoti iwapo Rais Jacob Zuma alihusika katika ufisadi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Rais Zuma 'alifyonza' pesa za umma
Ripoti kuhusu ufisadi nchini Afrika Kusini, imemkosoa vikali Rais Jacob Zuma kwa kuikarabati nyumba yake binafasi kwa kutumia pesa za Umma.
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Rais Zuma alitumia pesa za umma
Taarifa iliyotolewa na tume ya kupambana na ufisadi, iliyowasilishwa na mratibu wa masuala ya umma, imemtuhumu rais Zuma kwa kutofuata maadili.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
UMA yazindua operesheni okoa mazingira
ASASI ya Uhai Mazingira (UMA) yenye makao yake makuu wilayani Sikonge, Tabora imeanzisha operesheni maalumu itakayosaidia kuokoa uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Mkurugenzi mtendaji wa asasi hiyo, Athega...
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mali ya uma yamtia mashakani waziri mkuu
Waziri mkuu wa Ufaransa, Manuel Valls, amesema amejutia kitendo chake cha kutumia ndege ya serikali kuwabeba wanawe kutizama fainali ya mechi ya mabingwa wa ligi kuu barani Ulaya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nb5UQQh3DbU/VP2W7YR4PsI/AAAAAAAHJE0/m0OAq2feAG0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...
10 years ago
Bongo509 Mar
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya
Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa […]
11 years ago
Bongo511 Aug
Mpigie kura Cindy Rulz ashinde tuzo za UMA’s, ‘Best International Artist’
Rapper wa kike kutoka Tanzania, Cindy Rulz, ametajwa kuwania tuzo za Underground Music Awards, UMA’s za Marekani. Tuzo za UMA’s ni kubwa zaidi Marekani zinazolenga kuwatunza wasanii, waandishi wa nyimbo na watayarishaji wa muziki wanaojitegemea (wasio chini ya label) nchini Marekani. Cindy Rulz ni msanii pekee wa Afrika aliyetajwa mwaka huu kuwania tuzo hizo kwenye […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania