2002 DMV ILIPOKOSA AMANI, JE WADAU TUNAIKUMBUKA HII?
Chini na juu ni gari (1990 CAPRICE) iliotumika kutulia watu wasio na hatia mwaka 2002, haitasahaulika, watu waliokuwa hawatembei hawaendi makazi wala gas station, ilkuwa haijulikani mauaji yanatokea wapi, wakati gani na nani muuaji
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
StarTV06 Oct
Wadau wa amani Tanga wajadili udumishaji amani
Wadau wa amani jijini Tanga wamekutana kujadili namna ambayo watadumisha amani kwenye kipindi cha kampeni na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na nafasi ya urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Wadau hao ni viongozi wa dini na wa kisiasa, makundi ya kijamii na waandishi wa habari ambao wote kwa pamoja wametakiwa kutumia nafasi zao kuhakikisha amani inaendelea kuwepo wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Nafasi ya viongozi wa dini, siasa, makundi ya kijamii na waandishi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s72-c/swahiliPicnic-1.png)
MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.
![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s640/swahiliPicnic-1.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi7lCN2qFvc/VHdjfV6KDYI/AAAAAAADOZA/oekLlR6iSiA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WADAU DMV WASHEREHEKEA THANKSGIVING KWA KUMJULIA HALI ERIC BAHUNDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi7lCN2qFvc/VHdjfV6KDYI/AAAAAAADOZA/oekLlR6iSiA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--OcCmMny8Tc/VHdlM-A-eKI/AAAAAAADOZM/c5H4Fu7mAWc/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dvdiU29Zmdg/VHdn4pYWr_I/AAAAAAADOZY/975j4FwuwNk/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3MIIPSNzsx0/VYy_uJY4M6I/AAAAAAAAGUY/klZVOivtAAY/s72-c/farida-catering%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi22 Jul
10 years ago
VijimamboWADAU WAANZA KUWASILI SHEREHE YA FUNGA MWAKA DMV SASA WATOTO CHINI YA MIAKA 18 HAWATALIPA KIINGILIO
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiwa na Asha Nyang'anyi wakimpa kampani mgeni wao Mhe. Kadari Singo mwakilishi wa Diaspora Bubge la katiba atayezungumuza na Watanzania leo kuhusiana na Bunge hilo na yeye pekee ndieye atakayekuwa na kipindi cha maswali na majibu katika kuhitimisha sherehe ya kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka 2015 itakayofanyikia ukumbi wa Oxford uliopo Lanham kuanzia saa 1 usiku (7pm) leo Desemba 31, 2014.
9 years ago
MichuziTAWLA YAENDELEZA MIDAHALO YA AMANI KWA WADAU WA UCHAGUZI
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
UNESCO yawakutanisha wadau kujadili amani uchaguzi mkuu
Katibu Mkuu wa Baraza la Mahedhebu kwaajili ya Amani,Mchungaji,Canon Thomas Godda akizungumza katika kongamano la Amani lililoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu,Sayansi na Utamaduni (UNESCO)kwa kushirikiana na madhehebu ya Dini na Viongozi wa Mila ili kuhamasisha amani katika kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Na Mwandishi wetu, Simanjro
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia na Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) limekutanisha wadau mbalimbali...