Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


40 YA GURUMO...

Stori: Waandishi wetu
UNAFIKI kwa mastaa wa Bongo unaendelea kujidhihirisha ambapo safari hii wamekacha dua ya arobaini ya nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Gurumo, shughuli iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Mabibo, Dar, Jumamosi iliyopita. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki waliohudhuria 40 Gurumo. Waandishi wetu walishuhudia wanamuziki wa Msondo Ngoma, Mkurugenzi wa Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka na wengineo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Gurumo the Great

A famously one-eyed vocalist is busy on stage at music hall, and similarly busy are scores of music enthusiasts on the dance floor. Then, wonder of wonders, the closed eye pops open for about half a minute and closes again.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwaheri Maalim Gurumo

NGULI wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akiwa na umri wa miaka 73. Gurumo, mwanamuziki mwenye historia ndefu...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Bilal kumzika Gurumo

>Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal anatarajiwa kuongoza msafara wa mazishi ya mwanamuziki nguli Muhidin Maalim Gurumo yatakayofanyika leo katika Kijiji cha Masaki Wilaya ya Kisarawe Pwani.

 

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO AZIKWA

Mwili wa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo ukiwekwa eneo la makaburi ya Masaki-Kasarawe tayari kwa maziko. Mwili wa Mzee Gurumo umezikwa makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko ya nguli huyo wa muziki wa dansi aliyefariki dunia juzi Jumapili Aprili 13, 2014. 

 

11 years ago

Mwananchi

Gurumo afariki dunia

>Mwanamuziki mkongwe pengine kuliko wote kwa sasa nchini na mwasisi wa Bendi ya Msondo Ngoma, Muhidin Maalim Gurumo amefariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alipokuwa akipatiwa matibabu ya moyo.

 

11 years ago

GPL

R.I.P MUHIDIN MAALIM GURUMO

Mzee Gurumo akiwa na Msondo Ngoma enzi za uhai wake. Maalim Gurumo (katikati) akiimba sambamba na Shabani Dede (kulia) na …

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI

Stori: Shakoor Jongo IKIWA takriban ni miezi minne kasoro tangu gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ aiage dunia, gari aina ya Toyota Fun Cargo alilopewa kama zawadi na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu ‘Diamond’ limedaiwa kupigwa bei. Gari alilokabidhiwa aliyekuwa gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ ,  aina ya Toyota Fun Cargo. Chanzo makini kilicho...

 

11 years ago

GPL

WASANII WAINGIA MITINI 40 YA GURUMO

   Ndugu, jamaa na marafiki wakisoma dua.   Baadhi ya wanamuziki na wadau wa muziki wa dansi nchini Juma Mbizo, Said Mabela, Kibiriti, Hassan Bichuka na Mbwembwe wakiwa nyumbani kwa marehemu Gurumo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani