50 Cent aongezewa shavu na Starz, ni baada ya tamthilia ya Power kuwa na mafanikio makubwa
Rapper Curtis “50 Cent” Jackson amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na kituo cha runinga cha Starz baada ya tamthilia ya Power anayoitayarisha kupata mafanikio makubwa. Kupitia mkataba huo, 50 atatengeneza miradi mipya kupitia kampuni yake G Unit Film & Television, Inc. na kuendelea kuwa mtayarishaji mkuu wa tamthilia ya “Power.” Msimu wa tatu wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
10 years ago
Habarileo23 Jan
‘BRN imepata mafanikio makubwa’
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imepata mafanikio makubwa kufuatia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambapo ufaulu umeongezeka kufikia asilimia 57 mwaka jana ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 50.61.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h5cQ2m31sbg/VG8-TxBQZ8I/AAAAAAACvFc/rIwstzC8Jh8/s72-c/picha%2Bno%2B1.jpg)
UTAFITI WA POLISI JAMII UMEONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5cQ2m31sbg/VG8-TxBQZ8I/AAAAAAACvFc/rIwstzC8Jh8/s1600/picha%2Bno%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
WAZIRI MKUU ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s1600/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
******************************
15 Juni, 2020
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kurekebisha nidhamu kwa watumishi wa umma na uwajibikaji Serikalini, hivyo kuwezesha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Mapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
9 years ago
Bongo516 Sep
Nahreel adai mwaka 2015 amepata mafanikio makubwa
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Tathmini ya Programu ya IFAD nchini Tanzania yaonyesha mafanikio makubwa
Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Bw. Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuonyesha mafanikio ya programu ya IFAD nchini Tanzania, warsha...
11 years ago
Michuzi23 Jun
MFUKO WA PSPF WAMALIZA WIKI YA UTUMISHI KWA MAFANIKIO MAKUBWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CogMefJI*S0GG3QoEtPQB3XA64YQvjOsMw4PTEUbnXeyQllRlpERSHCdICWrqJv2dbqqq5yse*x1M9jijoWlKAu8/001.NACTE.jpg)
NACTE YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10