500 kutunukiwa shahada Mzumbe leo
JUMLA ya wahitimu 536 wanatarajiwa kuhitimu na kutunukiwa shahada katika mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu Mzumbe, kampasi ya Mbeya leo. Wahitimu hao ni kati ya wahitimu 3,554 katika kampasi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Wahitimu 3,900 kutunukiwa Mzumbe kuanzia leo
CHUO Kikuu Mzumbe kinatarajia kuwatunuku jumla ya wahitimu 3,943 katika madaraja mbalimbali kuanzia leo. Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa chuo hicho, Rainfrida Ngatunga, ilieleza mahafali katika kampasi...
11 years ago
Habarileo10 Dec
123 watunukiwa Shahada ya Ualimu Mzumbe
VYUO vikuu nchini vinaendelea kupunguza pengo la uhaba wa walimu wa shule za sekondari nchini baada ya wahitimu 123 wa Chuo Kikuu Mzumbe kutunukiwa shahada ya kwanza sayansi na ualimu wa masomo mbalimbali, ikiwemo hisabati, biashara na lugha ya menejimenti.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG-20131221-WA000.jpg?width=600)
MARGARETH SIMALENGA ATUNUKIWA SHAHADA YAKE CHUO KIKUU CHA MZUMBE
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s72-c/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
NAHODHA WA ZAMANI WA YANGA NA TIMU YA TAIFA ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DARA ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s640/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Nov
Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni)
Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.
Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yxqZN51jFu8/XlaKgOsYYFI/AAAAAAALfkE/Hq77cbPEG8QrIz_0hB7A9QN5r4J3RsIcQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE
Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...
10 years ago
Michuzi26 Nov
Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) Novemba 29, 2014 Isumba Lounge
Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014 kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...
11 years ago
Habarileo20 Dec
Leo ni mahafali ya kampasi ya Mzumbe Dar es Salaam
WAHITIMU 1,225 wanatarajia kupata shahada za uzamili katika programu mbalimbali wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam leo.
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ATUNUKU VYETI NA SHAHADA WAHITIMU ESAMI LEO