Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AAAC yapongeza kauli ya JK

KLABU ya African Ambassador Athletics (AAAC) ya jijini Arusha, imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutambua na kusema ukweli jinsi ya kupata wanamichezo mahiri nchini, hasa wanariadha. Kwa mujibu wa taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yapongeza wananchi

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Ziwa Magharibi, kimewapongeza wananchi wa majimbo na kata zote katika ukanda huo, kwa uamuzi wao wa kuwachagua wabunge na madiwani wanaotokana na...

 

9 years ago

Habarileo

UN yapongeza uchaguzi Tanzania

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon, ametuma salamu za pongezi kwa Watanzania, Serikali na vyama vya siasa, kwa namna walivyoshirikiana katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kumpata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

BBCSwahili

AU yapongeza uchaguzi Nigeria

Mkuu wa Umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa Muhammadu Buhari ni ukuwaji wa Demokrasi nchini Nigeria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TaCRI yapongeza kufufua kahawa

MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahimu Msengi, ameipongeza Taasisi ya Utafiti wa Kahawa nchini (TaCRI) kwa jitihada zake inazofanya kwa kushirikiana na halmashauri za wilaya nchini  kufufua zao la...

 

11 years ago

Michuzi

BASATA YAPONGEZA TAMASHA LA KRISIMASI


 SERIKALI kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) imeipongeza Kampuni ya Msama Promotions kufanikisha tamasha jipya la Krismasi lililofanyika mwishoni mwa mwaka jana. Licha ya kampuni hiyo kupitia Kamati ya Maandalizi kukumbana na changamoto mbalimbali, Basata limeipongeza kampuni hiyo  kwa kuanza vema katika mikoa mitano lilikofanyika.
Akizungumza katika Kikao cha kuwasilisha ripoti ya tathmini ya Tamasha la Krismasi iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa Basata, Ofisa...

 

10 years ago

Habarileo

Tamwa yapongeza uteuzi wa Samia

Samia SuluhuCHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA Zanzibar kimepongeza uteuzi uliofanywa na mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano Dk John Magufuli wa kumteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa nafasi ya rais ya makamo wa rais wa muungano.

 

5 years ago

Michuzi

USAID yapongeza jitihada za THBUB

Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu  Mathew Mwaimu akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Kimarekani, USAID, Andy Karas Mpango mkakati wa THBUB wa miaka mitano (2018/ 2023) alipotembelea ofisi za THBUB zilizopo jijini Dodoma na kukutana na viongozi wa juu wa taasisi hiyo leo (Februari 20, 2020). 
 Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Kimarekani, USAID, Andy Karas akiongea katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na viongozi wa tume alipotembelea ofisi hizo za  THBUB zilizopo...

 

11 years ago

Habarileo

WiLDAF yapongeza mshikamano wa wanawake

SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF), limepongeza ushiriki na mshikamano wa wanawake kuelekea kupata katiba mpya kwa namna walivyojitokeza kwa wingi na kutoa maoni yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani