Abakwa akimtembeza Mbwa
Mmanamke mwenye umri wa miaka 40 amebakwa akiwa anamtembeza Mbwa wake katika mtaa wa Salford nchini Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Mtoto abakwa, anyongwa
MWANAFUNZI wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kalangalala mjini hapa (jina limehifadhiwa), anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka nane, amebakwa na kunyongwa usiku wa kuamkia jana nyumbani kwao...
10 years ago
CloudsFM09 Jan
MWANAFUNZI ABAKWA, AFARIKI
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Rwanda Nzovwe jijini Mbeya , Elika Mkubwa (8), amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulukana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema baada ya watu hao kufanya unyama huo, waliuweka mwili wa mtoto huyo katika sinki la kuogea kwenye nyumba moja ambayo haijakamilika ujenzi wake. Pamoja na hayo, alisema upelelezi bado unaendelea ili kuwabaini waliohusika na tukio hilo.
Akizungumza eneo la tukio, kiongozi wa Mtaa wa...
11 years ago
Bongo Movies28 Jul
Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa ...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Bibi wa miaka 81 abakwa
MKAZI wa kijiji cha Luteba, wilayani hapa, jina linahifadhiwa (81) amedaiwa kubakwa na watu wasiojulikana na kumsababishia maumivu makali. Akisimulia mkasa huo Bibi huyo, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQX5tjXvvZopKfVjm4hqn8l5SxA9ESblX*dhupEk545OFAbYb4e8oNJo1KlHRUUb3EG1DBRvVFBb7afFk97oqDz/mke.gif?width=650)
MKE WA MTU ABAKWA, ANYONGWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXCiHu78EKtaS8LMjlA5eFg*mMIMZpfdlVTa0LKWg4qGmMkjXXksS3g3oMO9*Ab5waLTUJLfotvJ0E-AHRNtOaT/mtoto.jpg)
MTOTO MWAKA MMOJA ABAKWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpNqlYlcbpkUos6fPEk0AecffBMi1OGwdzNOMPT3iLVuojoAs3ABU5HL*PJUXQqmk57kCaLDp46AeEW-NbwCCmz/denti.jpg?width=650)
DENTI ABAKWA, APIGWA MIMBA