Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adam Juma hashindani kikazi

MTAYARISHAJI mahiri wa video za muziki wa Bongo Fleva nchini, Adam Juma, amesema sio kila kitu kinahitaji ushindani, na kwamba yeye anaipenda kazi yake hawezi kushindana na mtu mwingine. Adam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi

Adam Jumaa

Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.

Adam Jumaa

Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.

“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...

 

10 years ago

Bongo5

Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South

Christian Bella ana option mbili ya kushoot video ya wimbo wake ujao ‘Nashindwa’ nchini Afrika Kusini – kumtumia Godfather au kusafiri na Adam Juma. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kampuni aliyoipa kazi hiyo ikishindwa kufanya kazi kwa wakati itambidi aAchane nao na kumpa Adam Juma kutokana na uhitaji wa kazi hiyo kwa haraka. “Ngoma pamoja na […]

 

11 years ago

Bongo5

Next level ya Adam Juma kusaka vipaji vya waigizaji na models Jumamosi hii (October 4)

Kampuni ya Next Level inayomilikiwa na muongozaji wa video wa Tanzania, Adam Juma imeamua kutafuta vipaji vipya vilivyoko mitaani, kwa kuandaa shindano la kusaka vipaji litakalofanyika Jumamosi hii October 4 pale Mzalendo Pub. Vipaji vinavyotafutwa ni pamoja na models, waigizaji pamoja na watangazaji wa TV.

 

9 years ago

Bongo5

Adam Juma atoa ushauri wa bure kwa ma-director: Ubunifu ndio utakaotuokoa katika ukame huu

Adam Jumaa

Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma ametumia akaunti yake Instagram kutoa ushauri wa bure kwa waongozaji wenzake.

Adam Jumaa

Hiki ndicho ameandika Adam:

“Kwa madirector wadogo na wakubwa, hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi, hakuna media itakayokuokoa katika ukame wa kazi utakapo wasili. Sifa hujenga kiburi akili hujenga ustaarabu, mafanikio yako yapo mkononi mwako- hata wakishot mbinguni isiwe sababu ya ww kuacha na kutoipenda kazi yako. Simama kwenye mstari na ujiamini, usishindane...

 

11 years ago

Bongo5

Adam Juma ampongeza Izzo Bizness kwa kutaja gharama halisi aliyotumia kwenye video ya ‘Walala hoi’, M 1.4

Director Adam Juma wa kampuni ya Visual lab/Next Level, amempongeza rapper wa Mbeya Izzo Bizness na director wake Nick Dizzo kwa kutaja gharama halisi waliyotumia kushoot video ya ‘Walala hoi’ ambayo Izzo amesema ni shilingi milioni 1 na laki 4 tu. “Video ni milioni 1 na laki 4 na Nick hapo tumemlipa kila kitu” Izzo […]

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akizungungumza na Mkurugenzi anayeshughulikia masuala ya Afrika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa, Bw. Jean Christophe Belliard wakati wa ziara yake ya kikazi nchini humo.Mhe. Dkt. Maalim (katikati)  akiwa na Mhe. Begum Taj (kulia), Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa wakati wa mkutano wao na Bw. Arnaud de Lamotte, Makamu wa Rais wa Kituo cha Biashara cha Kimataifa na Huduma za Serikali wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani