Afrika na Ulaya kuukabili uhamiaji
Viongozi wa Ulaya na Afrika wameanza mkutano unaolenga kutafuta njia za kuzuia wimbi la wakimbizi wa Kiafrika wanaoelekea Ulaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Viongozi wa Ulaya kujadili Uhamiaji
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Tatizo la Uhamiaji haramu barani Ulaya
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
MAONI: Tujizatiti kuukabili ugonjwa wa ebola
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OEbkPEOePys/Ux3xq1AOsEI/AAAAAAAFSw4/W9GIisMtxDE/s72-c/unnamed+(44).jpg)
KAMATI ZA TROIKA ZA MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI, PACIFIC NA JUMUIYA YA ULAYA ZAKUTANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OEbkPEOePys/Ux3xq1AOsEI/AAAAAAAFSw4/W9GIisMtxDE/s1600/unnamed+(44).jpg)
10 years ago
Habarileo14 Apr
JWTZ iliandaa mabasi 300 kuukabili mgomo wa madereva
KUTOKANA na mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria nchi nzima uliofanyika Ijumaa iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lilikuwa limeshaandaa mabasi 300 ambayo yangetumika kusafirisha abiria, imebainika.
9 years ago
StarTV23 Nov
Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu
Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.
Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.
Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.
Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...
10 years ago
MichuziNAIBU IGP AHIMIZA MAFUNZO KUUKABILI UHALIFU MPYA