Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tujizatiti kuukabili ugonjwa wa ebola

>Dunia ambayo sasa imekuwa kijiji kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia, inakabiliwa na janga jingine kubwa la ugonjwa wa ebola ambao unatishia uhai na maisha ya watu wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu

 

Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.

Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.

 Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.

Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TISHIO UGONJWA WA EBOLA


Kikosi kazi chaanza  mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumechelewa Michezo ya Afrika, lakini tujizatiti

Michezo ya 11 ya Afrika ambayo hufanyika kila baada ya miaka minne, yamepangwa kufanyika jijini Brazaviulle, Congo Septemba 4-18.

 

11 years ago

Mwananchi

Ugonjwa wa ebola unavyoitikisa Afrika

Wakati wakuu wa mataifa ya Guinea, Sierra Leone na Liberia wanakutana kwenye mji mkuu wa Guinea, Conakry kwa ajili ya kungalia jinsi gani ya kupambana na ugonjwa wa ebola, Shirika la Afya Dunia (WHO), limetangaza kutoa Dola za Kimarekani 100 milioni ili kukabiliana na janga hili ambalo hadi sasa limegharimu maisha ya Waafrika zaidi ya 730. 

 

10 years ago

Mwananchi

Mungu inusuru Tanzania na ugonjwa wa ebola

Ugonjwa wa ebola umeendelea kuwa tishio katika nchi za Afrika Magharibi ukikatisha maisha ya watu kila kukicha. Mpaka sasa bado juhudi za kupambana na ugonjwa huu hazijazaa matunda makubwa kwani idadi ya vifo imekuwa ikiongezeka.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBCSwahili

MSF;Ugonjwa wa Ebola haudhibitiki tena

Afisa mwandamizi wa shirika la madaktari wasio na Mipaka MSF ameelezea kuwa mkurupuko wa ugonjwa wa Ebola hauwezi kudhibitika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa

WHO lamesema kuwa damu ya watu ambao wameponea ugonjwa wa Ebola inaweza kutumiwa kuwauguza wagonjwa wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani