Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumechelewa Michezo ya Afrika, lakini tujizatiti

Michezo ya 11 ya Afrika ambayo hufanyika kila baada ya miaka minne, yamepangwa kufanyika jijini Brazaviulle, Congo Septemba 4-18.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tujizatiti kuukabili ugonjwa wa ebola

>Dunia ambayo sasa imekuwa kijiji kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia, inakabiliwa na janga jingine kubwa la ugonjwa wa ebola ambao unatishia uhai na maisha ya watu wengi.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchumi wa Afrika wakua, lakini wengi wangali na njaa

Kila mwaka, Serikali, wanahabari, wataalamu wa maendeleo na wengineo husubiri kwa hamu kutolewa kwa Ripoti ya Ustawi wa Binadamu, inayotayarishwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo (UNDP).

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Huenda Afrika iliyachelewesha maambukizi lakini haikuyadhibiti

Nilitumia wakati wangu mwingi kuwafuatilia baadhi ya maafisa wa polisi wa Afrika Kuisni wakati wakipiga doria katika barabara nyembamba na zenye giza za mji wa Alexandria kandokando ya mji wa Johannesburg.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini kuandaa michezo ya JM

Afrika Kusini kuwasilisha ombi la kuandaa mashindano ya Jumuiya ya madola au Commonwealth mwaka wa 2022

 

10 years ago

Mtanzania

Twiga Stars yafuzu michezo Afrika

MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Afrika wenye shauku ya michezo

Mashabiki wa soka barani Afrika ni kati ya mashabiki wenye shauku kubwa na michezo na hata viongozi wao wengi nao wapo hivyo. Viongozi wengi wa Afrika wametumia mapenzi yao ya michezo kuwaunganisha wananchi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Bora tujitoe kwenye michezo ijayo Afrika

Ni miezi minne na ushee imebaki kabla ya kufanyika kwa michezo mikubwa ya Afrika kule Jamhuri ya Congo-Brazaville.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo jiandaeni kwa bidii Michezo Afrika

Tanzania itashiriki kwa mara ya 11 kwenye Michezo ya Mataifa ya Afrika (All African Games) nchini Kongo Brazzaville. Kwa mara ya kwanza taifa lilishiriki kwenye michezo hiyo 1965 ikiwa ni miaka mitatu baada ya kupata Uhuru 1961 wakati huo ikiitwa Tanganyika

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake viongozi wa michezo Afrika kukutana Dar es Salaam

WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Asasi ya Right to Play Tawi la Tanzania, wameandaa kongamano la wanawake viongozi wa michezo Afrika (Africa Women Sports Leaders),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani