Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIBU KUBWA MREMBO ADAKWA KWA WIZI HOSPITALI!

Makongoro Oging’ na Mayasa Mariwata
MREMBO mmoja aliyejulikana kwa jina la Mariam Moshi (23), mkazi wa Mwananyamala Ujiji, aliponea chupuchupu kuuawa na wagonjwa wenye hasira kali waliolazwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar baada ya kudaiwa kuiba nguo. Mariam Moshi akihamaki baada ya kukamatwa na nguo anazodaiwa kuiba katika wodi ya wazazi Hospitalini Mwananyamala.  Walinzi wa hospitali hiyo walimuokoa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MREMBO ANASWA KWA WIZI WA ‘MAKUFULI’...

Na Dustan Shekidele, Morogoro
MREMBO Asna Eliasmkazi wa maeneo ya Manzese mkoani hapa, ameingia matatani baada ya kutiwa mbaroni kwa wizi wa nguo za ndani za mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la aina yake, lilitokea Jumatatu iliyopita mchana wa jua kali nyumbani kwa Kigogo wa UWT kupitia CCM, Bi. Mwajuma Malingo anayeishi Mtaa wa Holowera Kata ya Mji Mpya. Akizungumza na paparazi wetu kuhusu...

 

10 years ago

GPL

AIBU KUBWA! MUUZA GENGE ACHEZEA KICHAPO KWA KUNASWA NA MKE WA MTU

Stori: Dustan shekidele. Morogoro/Risasi
Aibu kubwa! Muuza genge mmoja kwenye Soko la Mji Mpya mjini hapa ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akichezea kichapo kwa madai ya kunaswa na mke wa mtu kisha kutembezwa mtupu mtaani. Muuza genge aliyechezea kichapo baada ya kunaswa na mke wa mtu na kutembezwa mtupu mtaani. Fumanizi hilo lililojaza umati wa jinsi na rika zote wakiwemo watoto lilijiri katikati ya wiki hii,...

 

11 years ago

Michuzi

DAKTARI FEKI MWINGINE ADAKWA HOSPITALI YA RUFAA MOROGORO

Askari Polisi wakimtoa nje daktari feki, Karume Habibu (22) kutoka kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alihojiwa kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano zaidi.Daktari feki akielekea kwenye gari.Daktari feki, Karume Habibu akiingizwa kwenye gari.Akificha uso kukwepa kamera za GPL.Baadhi ya wafanyakazi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wakishuhudia tukio hilo.
WIMBI la madaktari feki kuingia katika hospitali wakijifanya madaktari na...

 

10 years ago

GPL

AIBU FUNGA MWAKA! MREMBO WA BONGO MOVIE ANASWA USIKU MNENE

Na Musa Mateja HII kweli ni aibu funga mwaka! Msanii wa Bongo Movies, Stani Bakora amenaswa na paparazi wetu akivunja amri ya sita ndani ya gari na dada mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, Amani linakupa mchapo kamili. Msanii wa Bongo Movies, Stani Bakora na binti huyo wakiwa kwenye mahaba mazito. Tukio hilo la kinyaa lilitokea hivi karibuni maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam, karibu kabisa na maegesho ya magari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wizi wa kihistoria waleta aibu Chile

Chile imemfuta kazi afisaa mkuu wa usalama katika uwanja mkuu wa ndege baada ya tukio la kuaibisha la wizi wa zaidi ya dola bilioni 10

 

11 years ago

GPL

AIBU KUBWA!

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
NI aibu kubwa! Mpigachabo maarufu nchini, Andrea Masangu (29) amenaswa akiwa kwenye uvungu wa kitanda akiwapiga chabo wanandoa, Ijumaa Wikienda lina mkasa wote mkononi. Tukio hilo lilitokea Januari 10, mwaka huu, ndani ya Gesti ya Riverside, Stendi ya Nyegezi jijini hapa ambapo kijana huyo aliingia kwa kuruhusiwa na mhudumu wa gesti hiyo katika mtego makini uliotegwa na Oparesheni...

 

9 years ago

Michuzi

MSD YAKARABATI JENGO LA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA KASI KUBWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK.MAGUFULI

Na Dotto Mwaibale

BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.

Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.

Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mrembo wetu akutana na miliki wa shindano kubwa la Miss Universe Donald Trump

IMG_20150109_171950

Mmiliki wa shindano Kubwa la urembo duniani, Mr Donald Trump atembelea warembo wa Miss Universe na kujumuika nao kwa chakula cha asubuhi

Tanzania inawakilishwa na mrembo wa Miss Universe Tanzania, Nale Boniface.

Bilionea huyu alionekana kufurahia warembo na alinukuliwa akisema, This time we have such young and beautiful contentants.

NALE BONIFACE na baadhi ya warembo waliomba kupiga picha ya pamoja.

Mkurugenzi wa Miss Universe Tanzania amefurahishwa na ushindani wa Nale na amesema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Hospitali za jiji kubwa zaidi Brazil São Paolo 'kuzidiwa' kwa corona

Hospitali za umma katika jiji la São Paulo zimejaa kwa 90% kwenye upande wodi za wagonjwa mahututi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani