Airtel kupeleka waandishi wanne Old Trafford
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imetangaza kuwapeleka waandishi wa habari za michezo wanne watakaopata uzoefu wa kuripoti moja kwa moja ‘live’ Ligi Kuu ya Uingereza na kupata nafasi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9N*ITuTuR56xGA7h88a3U3vJ7dyjw5qvah-84-UeiRCCkjlwQGtFozlJuhJqqRWcevsBW-rdW2zj1yrZfLzvDg/airtel.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2J2g04dWrSM7ktRW6BUcR6-aJkvIz0KeH93tvhfChULH5s53EAj3wqx6XL0M*K9MCAkbGNsoTo-V*bOipceiicr/BINGWA1.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwa pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s1600/unnamed.jpg)
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengeauwezo...
11 years ago
GPLAIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi  jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment.  Pichani katikati ni  Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani. ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi wa habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s1600/unnamed.jpg)
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment. Pichani katikati ni Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lXITMgoExbM/U3ZVP048NSI/AAAAAAAFiHg/Rw4O4y3Rz8A/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
MAKATIBU WAKUU WA WIZARA  Rais…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App" Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania