Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel kupeleka waandishi wanne Old Trafford

KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imetangaza kuwapeleka waandishi wa habari za michezo wanne watakaopata uzoefu wa kuripoti moja kwa moja ‘live’ Ligi Kuu ya Uingereza na kupata nafasi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’

KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...

 

11 years ago

GPL

WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...

 

11 years ago

GPL

WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson  Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati  ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson  Mmbando akiwa pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi

Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi  jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment.  Pichani katikati ni  Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengeauwezo...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI‏

Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi  jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment.  Pichani katikati ni  Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani. ...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi wa habari


Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment. Pichani katikati ni Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.  KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengea uwezo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Michuzi

Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App"  Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani