Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajira ziko wapi?

Kijana Mtanzania, jaribu kuthubutu, Jitume onyesha nia, mbele utapata jibu, Usiwaone wanalia, mengi yamewasibu, Usiongoje kuletewa,  jitume utatoboa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ajira za makatibu wakuu ziko salama- Ikulu

Uamuzi wa Rais John Magufuli kuunganisha wizara kutoka 30 hadi kuwa 18 na idadi ndogo ya mawaziri, hautasababisha kupunguzwa kwa watumishi, hasa makatibu wakuu, Ikulu imeeleza.     

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

10 years ago

BBCSwahili

Saa za kisasa Apple ziko njiani

saa mpya za Apple ziko sokoni, katika unene na bei tofauti tofauti japo vifaa vya simu bado vinatengenezwa.

 

10 years ago

Habarileo

Matokeo shule za msingi, nusu ziko chini ya ufaulu

PAMOJA na matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014 kuonesha ufaulu wake kuongezeka kwa asilimia 6.38, zaidi ya nusu za shule hizo ziko kwenye kundi la wastani wa chini wa ufaulu.

 

9 years ago

MillardAyo

Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa….

Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani  muziki wa kizazi cha sasa, leo December 22, 2015 kilitoa list ya video za nyimbo bora za RNB ambazo kwenye hii countdown zipo 5. 5.Alessia Cara- Here 4.Post Malone – White […]

The post Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je nchi za Afrika ziko tayari kukabiliana na janga hili?

Jinsi nchi barani Afrika zinavyojitayarisha kukabiliana na virusi vya corona iwapo vitasambaa

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!

DSC01596

Baadhi ya askari polisi wakishiriki kumtoa Fisi ambaye alikuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01597 Baadhi ya wananchi wa mji wa Singida wakishuhudia kutolewa nje Fisi aliyekuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01600 Badhi ya wananchi wa mji wa Singida,wakishiriki kumuuawa Fisi aliyevamia mji wa Singida na kusababisha hofu kubwa kwa wakazi. DSC01604 Fisi aliyevamia Singida mjini, akiwa kwenye gari la polisi baada ya kushambuliwa na wananchi kwa silaha za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani