Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Jazeera:Kesi Imeahirishwa tena

Uamuzi wa kesi dhidi ya waandishi wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera nchini Misri umeahirishwa tena.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Habre: Kesi imeahirishwa hadi Septemba

Kesi dhidi ya rais wa zamani wa Chad,Hissene Habre,iliyotazamiwa kuendelea leo huko Senegal imeahirishwa tena hadi mwezi Septemba

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa

Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni

 

10 years ago

Vijimambo

Kesi ya Mbasha Yakwama tena


Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo. Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.
Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa ...

 

10 years ago

GPL

KESI YA PONDA YAPIGWA KALENDA TENA

Sheikh Ponda akiwa eneo la Mahakama. Wakili…

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Sheikh Ponda yakwama tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro kwa mara nyingine jana, imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa, kutokana na jadala la kesi hiyo, ambalo liko Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutorejeshwa mahakamani hapo.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda yakwama tena kusikilizwa

Shehe Ponda Issa PondaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro jana ilishindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda kutokana na mgongano wa kiutawala na kukosekana kwa nakala ya hukumu ya rufaa iliyompa ushindi Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya Badwell kunguruma tena Feb 24

Mbunge wa Bahi, Dodoma, Omary Badwel anayekabiliwa na kesi ya kuomba na kupokea rushwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Februari 24 mwaka huu, anatarajiwa kuhojiwa na upande wa mashtaka dhidi ya utetezi wake alioutoa mahakamani hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya kutorosha wanyama hai yakwama tena

KESI ya utoroshwaji wa wanyama hai zaidi ya 100 kwenda Doha, Qatar, inayowakabili washtakiwa wanne katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi, imekwama tena baada ya mshtakiwa wa kwanza, Kamran Ahmed kutofika mahakamani hapo bila taarifa.

 

5 years ago

Michuzi

KESI INAYOMKABILI KIGOGO WA CCM YAAHIRISHWA TENA

Kesi ya jinai inayomkabili mfanyabiashara ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa UWT-CCM Wilaya ya Kinondoni, Frolence Masunga (45) mkazi wa Kimara Suka jijini Dar es Salaam imeahirishwa tena.Kesi hiyo imetajwa kwa mara ya pili mnamo Machi 9,2020 ambapo ilishatajwa kwa mara ya kwanza Januari 22,2020 katika mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam mbele ya  Hakimu mfawidhi Martha Mpanze.
Masunga anashtakiwa kwa Kosa la kuchukua fedha za Abdallah Majura Bulembo, kwa njia ya udanganyifu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani