Al Jazeera:Kesi Imeahirishwa tena
Uamuzi wa kesi dhidi ya waandishi wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera nchini Misri umeahirishwa tena.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Habre: Kesi imeahirishwa hadi Septemba
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Zrnzcj8-g6s/VWb5P6wOu8I/AAAAAAAAeCk/KTWjpKxDhVo/s72-c/1.jpg)
Kesi ya Mbasha Yakwama tena
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zrnzcj8-g6s/VWb5P6wOu8I/AAAAAAAAeCk/KTWjpKxDhVo/s640/1.jpg)
Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo. Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.
Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/4uLsgpBK3A*9LOHs6d1d9*4J7Z2uFcRxBI74-ReGhcn-sq7azHWn8s-GdsEK-EZZyisx5NhtvtVHoyftEgvNsOPINuk-BGgd/SHEIKHPONDANAWENZAKEMAHAKAMANI7.jpg?width=650)
11 years ago
Habarileo01 May
Kesi ya Sheikh Ponda yakwama tena
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro kwa mara nyingine jana, imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa, kutokana na jadala la kesi hiyo, ambalo liko Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutorejeshwa mahakamani hapo.
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kesi ya Ponda yakwama tena kusikilizwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro jana ilishindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda kutokana na mgongano wa kiutawala na kukosekana kwa nakala ya hukumu ya rufaa iliyompa ushindi Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kesi ya Badwell kunguruma tena Feb 24
11 years ago
Habarileo26 Mar
Kesi ya kutorosha wanyama hai yakwama tena
KESI ya utoroshwaji wa wanyama hai zaidi ya 100 kwenda Doha, Qatar, inayowakabili washtakiwa wanne katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi, imekwama tena baada ya mshtakiwa wa kwanza, Kamran Ahmed kutofika mahakamani hapo bila taarifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
KESI INAYOMKABILI KIGOGO WA CCM YAAHIRISHWA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s320/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
Masunga anashtakiwa kwa Kosa la kuchukua fedha za Abdallah Majura Bulembo, kwa njia ya udanganyifu,...