Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab ni janga, EAC ilikabili pamoja

Tunasikitishwa mno na vitendo vya ugaidi ambavyo vimeendelea kuvuruga hali ya amani katika nchi jirani ya Kenya, ambako zaidi ya watu 65 wameuawa katika matukio mawili tofauti katika saa 48 tu zilizopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Soko la pamoja EAC ni zuri, lakini...

Matumaini ya kujikomboa kiuchumi kupitia ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki, yanaweza kufanikiwa kwa kiwango kikubwa endapo juhudi zinazoendelea zitafanywa kwa uangalifu katika hali ambayo itasaidia kila nchi mwanachama kunufaika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Faida umoja wa forodha, soko la pamoja EAC bado ndoto

UTAFITI uliofanywa na Shirika la Muungano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (Tango), umebaini kuwa asasi za kiraia, wakulima na wafanyabiashara wadogo katika Umoja wa Afrika Mashariki (EAC), unaonyesha kuwa upatikanaji...

 

5 years ago

Michuzi

CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO


Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA


Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
Tunafuatilia mada kwa makini
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...

 

11 years ago

Michuzi

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta engages EAC

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta addresses EAC Staff as Amb Sezibera and Chair of the Council hon. Phyllis Kandie looks on
----------------------------------------------  The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta, last evening engaged the staff of the Organs of the Community namely; the EAC Secretariat, the East African Legislative...

 

10 years ago

Michuzi

EAC AT WORLD TRAVEL MARKET IN LONDON: East Africa is a Safe and Ebola Free Destination, EAC Tells WTM

The East African Community is show-casing the region’s tourism potential and marketing the five Partner States as a Single Tourist Destination at the ongoing World Travel Market in London, United Kingdom.
The five Partner States are being lead by Chairperson of the EAC Council of Ministers, Hon. Phyllis Kandie, who is also Kenya’s Cabinet Secretary, Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism, while Hon. Jesca Eriyo, the EAC Deputy Secretary General (Productive and Social Sectors)...

 

10 years ago

Mtanzania

Ni janga

Ajali 2Ajali 1Na Waandishi Wetu, Dar na Kahama
WATU 38 wameripotiwa kupoteza maisha jana katika matukio ya ajali mawili tofauti yaliyotokea kwenye mikoa ya Mbeya na Shinyanga.
Taarifa zilizokusanywa na MTANZANIA Jumamosi kutoka Mbeya na Shinyanga, zilieleza kuwa tukio la kwanza lilitokea eneo la Uwanja wa Ndege, Kata ya Kiwira, wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ambako gari aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 290 ADU, lililokuwa kwenye kasi lilipinduka baada ya kushindwa kukata kona.
Tukio hilo...

 

11 years ago

GPL

WANAWAKE NI JANGA

Na Makongoro Oging'
JANGA la kusafirisha madawa ya kulevya Bongo limezidi kuwa zito kufuatia takwimu za hivi karibuni kuonesha kwamba, idadi ya wanawake kujihusisha na shughuli hiyo inazidi kupanda. Jack Patrick. Akizungumza na Uwazi juzi, Kamanda wa Kudhibiti na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa alisema wanawake wamekuwa ni janga kwa kuwa  wanaongoza kwa kukamatwa kutokana na kujihusisha na biashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani