Al Shabaab ni janga, EAC ilikabili pamoja
Tunasikitishwa mno na vitendo vya ugaidi ambavyo vimeendelea kuvuruga hali ya amani katika nchi jirani ya Kenya, ambako zaidi ya watu 65 wameuawa katika matukio mawili tofauti katika saa 48 tu zilizopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Soko la pamoja EAC ni zuri, lakini...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Faida umoja wa forodha, soko la pamoja EAC bado ndoto
UTAFITI uliofanywa na Shirika la Muungano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (Tango), umebaini kuwa asasi za kiraia, wakulima na wafanyabiashara wadogo katika Umoja wa Afrika Mashariki (EAC), unaonyesha kuwa upatikanaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200306_123804_147.jpg)
MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_123804_147.jpg)
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
![](https://1.bp.blogspot.com/-W1ks04dNgRs/XmNaSdYE5UI/AAAAAAAAIW0/990B99_eL6UW2aDj5ZDtiLd07FInX8YvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_125932_263.jpg)
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHi_iV7-SIY/XmNaSD0NZWI/AAAAAAAAIWw/OsQCWOAUnp0rL53vWzIqMiipoAjdSklqgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_130748_352.jpg)
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P8Lv96_Uqk/XmNab1RAEII/AAAAAAAAIXA/svCi6L-8cV8yrC_Jcc8Wv7cbsslscZCxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133428_080.jpg)
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mJ7Ir4_hAfs/XmNaVcCrOxI/AAAAAAAAIW4/_Bs9PqzLOXwA4m685_FDFgeLSGuUL9NbQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133411_049.jpg)
Tunafuatilia mada kwa makini
![](https://1.bp.blogspot.com/-bCdJ697J0-8/XmNaZiVkWLI/AAAAAAAAIW8/tzNf9UvSbocOuXj0caPdzGCZhEAlhJeqwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133418_402.jpg)
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...
11 years ago
MichuziThe Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta engages EAC
---------------------------------------------- The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta, last evening engaged the staff of the Organs of the Community namely; the EAC Secretariat, the East African Legislative...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OHqF9IWhzm8/VFvBTCHB4nI/AAAAAAAGv2A/psdGMvzsCMM/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
EAC AT WORLD TRAVEL MARKET IN LONDON: East Africa is a Safe and Ebola Free Destination, EAC Tells WTM
The five Partner States are being lead by Chairperson of the EAC Council of Ministers, Hon. Phyllis Kandie, who is also Kenya’s Cabinet Secretary, Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism, while Hon. Jesca Eriyo, the EAC Deputy Secretary General (Productive and Social Sectors)...
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Ni janga
Na Waandishi Wetu, Dar na Kahama
WATU 38 wameripotiwa kupoteza maisha jana katika matukio ya ajali mawili tofauti yaliyotokea kwenye mikoa ya Mbeya na Shinyanga.
Taarifa zilizokusanywa na MTANZANIA Jumamosi kutoka Mbeya na Shinyanga, zilieleza kuwa tukio la kwanza lilitokea eneo la Uwanja wa Ndege, Kata ya Kiwira, wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ambako gari aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 290 ADU, lililokuwa kwenye kasi lilipinduka baada ya kushindwa kukata kona.
Tukio hilo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtow0G3GxLJWbgYszAoiP8xDKr-aWxV7yPHyLcd4KQyRHXUnZksYdDFDWvqeBZ3ZfJmHgXf1lvxCIwFN9ajRLlqs/janaga.jpg?width=650)
WANAWAKE NI JANGA