Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soko la pamoja EAC ni zuri, lakini...

Matumaini ya kujikomboa kiuchumi kupitia ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki, yanaweza kufanikiwa kwa kiwango kikubwa endapo juhudi zinazoendelea zitafanywa kwa uangalifu katika hali ambayo itasaidia kila nchi mwanachama kunufaika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Faida umoja wa forodha, soko la pamoja EAC bado ndoto

UTAFITI uliofanywa na Shirika la Muungano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (Tango), umebaini kuwa asasi za kiraia, wakulima na wafanyabiashara wadogo katika Umoja wa Afrika Mashariki (EAC), unaonyesha kuwa upatikanaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFC wapendekeza soko la pamoja

UMOJA wa Vyama vya Ushirika (TFC) umependekeza muswada wa sheria kuhusu soko la pamoja. Mapendekezo hayo waliyatoa jijini Dar es Salaam jana walipokutana na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki

JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki  yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki  baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...

 

10 years ago

GPL

SOKO LA BUGURUNI: SHILINGI MIL.27 HUKUSANYWA KWA MWEZI, LAKINI HALI YA UCHAFU SOKONI HAPO NI HATARI

Na Makongoro Oging’
Soko la Buguruni ni moja kati ya masoko makubwa yanayotegemewa katika Jiji la Dar es Salaam kwa serikali kujipatia kipato pia wateja kujipatia mahitaji ya kila siku lakini cha kushangaza ni kwamba uchafu umekithiri. Muonekano wa soko la Buguruni. Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko hilo, Said Habibu Kondo amesema soko hilo lina wafanyabiashara 3,000 na kila mmoja hutozwa ushuru na manispaa kati ya...

 

11 years ago

Habarileo

'Wajasiriamali tumieni soko la EAC'

WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kuweka mikakati thabiti ya kuingia kwenye soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kujiletea maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanawake wajasiriamali litumieni soko la EAC’

>Diwani wa Kata ya Mabawa katika Halmashauri ya Jiji la Tanga, Muzzamillu Shamdoe amewataka wajasiriamali wanawake kulitumia soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kutangaza bidhaa zao.

 

10 years ago

Michuzi

DKT. BILAL ASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA SOKO LA PAMOJA, JIJIJINI SHARM EL SHEIKH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini mkataba wa makubaliano ya kuwa na soko la pamoja kwa Nchi za Wanachama wa Kanda ya tatu ya Nchi za Afrika Mashariki, Kusini mwa Afrika na za Magharibi. Dkt.Bilal pamoja na Viongozi wa Nchi husika wamesaini mkataba huo leo katika Mkutano mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la Nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC)...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Changamkieni soko la watu milioni 150 EAC’

Wafanyabishara nchini wametakiwa kuacha woga na kuchangamkia soko lenye watu milioni 150 wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kutanua biashara zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Al Shabaab ni janga, EAC ilikabili pamoja

Tunasikitishwa mno na vitendo vya ugaidi ambavyo vimeendelea kuvuruga hali ya amani katika nchi jirani ya Kenya, ambako zaidi ya watu 65 wameuawa katika matukio mawili tofauti katika saa 48 tu zilizopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani