Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni janga

Ajali 2Ajali 1Na Waandishi Wetu, Dar na Kahama
WATU 38 wameripotiwa kupoteza maisha jana katika matukio ya ajali mawili tofauti yaliyotokea kwenye mikoa ya Mbeya na Shinyanga.
Taarifa zilizokusanywa na MTANZANIA Jumamosi kutoka Mbeya na Shinyanga, zilieleza kuwa tukio la kwanza lilitokea eneo la Uwanja wa Ndege, Kata ya Kiwira, wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ambako gari aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 290 ADU, lililokuwa kwenye kasi lilipinduka baada ya kushindwa kukata kona.
Tukio hilo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANAWAKE NI JANGA

Na Makongoro Oging'
JANGA la kusafirisha madawa ya kulevya Bongo limezidi kuwa zito kufuatia takwimu za hivi karibuni kuonesha kwamba, idadi ya wanawake kujihusisha na shughuli hiyo inazidi kupanda. Jack Patrick. Akizungumza na Uwazi juzi, Kamanda wa Kudhibiti na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa alisema wanawake wamekuwa ni janga kwa kuwa  wanaongoza kwa kukamatwa kutokana na kujihusisha na biashara...

 

10 years ago

Vijimambo

EBOLA NI JANGA LA DUNIA

Kasisi wa Hispania ambaye aliambukizwa virusi vya Ebola nchini Liberia akisafirishwa kwenda kupata matibabu nchi mwao.
Kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo na ugonjwa kuendelea kusambaa, harakati za kutafuta tiba ya Ebola zinaendelea.

Wataalam tayari wanajua mengi kuhusu virusi hivi na namna vinavyoshambulia, lakini kupambana navyo kwa kutumia dawa ni jambo jipya.

Tangu Ebola ilivyobainika mwaka 1976, kila mlipuko umekuwa ukidhibitiwa kwa masharti ya hali ya juu kuhusu usafi-kutengwa kwa wagonjwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maghorofa janga jingine

Dar es Salaam. Licha ya ujenzi maghorofa marefu kutajwa kuwa kielelezo cha maendeleo katika miji mikubwa, jijini Dar es Salaam hali ni tofauti kutokana na hofu iliyopo kuhusu ubora wa majengo hayo, mfumo wa majitaka, mipango miji na ukosefu wa maeneo ya maegesho.

 

9 years ago

Global Publishers

U.T.I janga lisilopewa kipaumbele-3

m_jpg120003faTULIANZA kupeana ufahamu juu ya maambukizi katika njia ya mkojo yaani U.T.I na tuliangalia chanzo na wiki jana tuliangalia dalili za ugonjwa huu.
Leo tutaangalia makundi mbalimbali ambayo yapo katika hatari ya kupata maambukizi haya.

Wagonjwa walioingiziwa mpira wa kusaidia kutoa mkojo (Catheter) huwa katika hatari kubwa ya kupata U.T.I. Hii inajumuisha wagonjwa waliolazwa, wenye matatizo ya magonjwa ya fahamu na hawawezi kutoa mkojo, pia wagonjwa waliopooza.

Wagonjwa walio na kinga ya mwili...

 

9 years ago

GPL

U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE-2

Wiki ya jana nilianza kulielezea tatizo la U.T.I (Urinary Tract Infections) na nilieleza kuwa hili ni tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo ambalo huwasumbua watu wengi siku hizi. Uambukizi huu unaweza kusababisha maumivu na kukosa raha. Pia nilieleza kuwa U.T.I ni ugonjwa ambao huwaathiri zaidi wanawake ukilinganisha na wanaume na sababu kubwa ikiwa ni ya kimaumbile, ingawa kuna sababu nyingine kama kufanya ngono na historia...

 

9 years ago

GPL

U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE

Imekuwa ni kawaida kuambiwa fulani anaumwa U.T.I na watu wanachukulia ni suala la kawaida kutokana na kuwakumba watu wengi na ikumbukwe kuwa ugonjwa huu hushambulia zaidi akina mama kuliko wanaume. Leo tutaanza kuangalia maradhi hayo. Tatizo la maambukizi ya njia ya mkojo (Urinary Tract Infections) au kwa kifupi U.T.I kama ilivyozoeleka kwa wengi. Kwa kiasi kikubwa, labda na hata wewe msomaji pengine ni zaidi ya mara moja umewahi...

 

9 years ago

Mwananchi

Tutangaze kipindupindu janga la taifa

Mwishoni mwa mwezi uliopita Shirika la Afya Duniani (WHO), liliionya Tanzania kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini na kwamba ikiwa hatua za uhakika hazitachukuliwa, basi kuna uwezekano ugonjwa huo ukaenea hadi nchi jirani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yakiri kulemewa na janga

Serikali ya Nepal inasema kuwa imelemewa na kiwango cha janga lililosababishwa na tetemeko la ardhi siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

Mwananchi

MV Victoria ni janga linalosubiri kutokea

Kwa muda wa wiki moja sasa, vyombo vya habari nchini vimekuwa vikiripoti hali mbaya kiusalama inayoikabili meli kongwe nchini, MV Victoria ambayo imekuwa ikisafirisha abiria na mizigo katika Ziwa Victoria kwa zaidi ya miaka 50 sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani