Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE

Imekuwa ni kawaida kuambiwa fulani anaumwa U.T.I na watu wanachukulia ni suala la kawaida kutokana na kuwakumba watu wengi na ikumbukwe kuwa ugonjwa huu hushambulia zaidi akina mama kuliko wanaume. Leo tutaanza kuangalia maradhi hayo. Tatizo la maambukizi ya njia ya mkojo (Urinary Tract Infections) au kwa kifupi U.T.I kama ilivyozoeleka kwa wengi. Kwa kiasi kikubwa, labda na hata wewe msomaji pengine ni zaidi ya mara moja umewahi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

U.T.I janga lisilopewa kipaumbele-3

m_jpg120003faTULIANZA kupeana ufahamu juu ya maambukizi katika njia ya mkojo yaani U.T.I na tuliangalia chanzo na wiki jana tuliangalia dalili za ugonjwa huu.
Leo tutaangalia makundi mbalimbali ambayo yapo katika hatari ya kupata maambukizi haya.

Wagonjwa walioingiziwa mpira wa kusaidia kutoa mkojo (Catheter) huwa katika hatari kubwa ya kupata U.T.I. Hii inajumuisha wagonjwa waliolazwa, wenye matatizo ya magonjwa ya fahamu na hawawezi kutoa mkojo, pia wagonjwa waliopooza.

Wagonjwa walio na kinga ya mwili...

 

9 years ago

GPL

U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE-2

Wiki ya jana nilianza kulielezea tatizo la U.T.I (Urinary Tract Infections) na nilieleza kuwa hili ni tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo ambalo huwasumbua watu wengi siku hizi. Uambukizi huu unaweza kusababisha maumivu na kukosa raha. Pia nilieleza kuwa U.T.I ni ugonjwa ambao huwaathiri zaidi wanawake ukilinganisha na wanaume na sababu kubwa ikiwa ni ya kimaumbile, ingawa kuna sababu nyingine kama kufanya ngono na historia...

 

11 years ago

Mwananchi

Wawekezaji wa ndani wapewe kipaumbele

Katika kuhakikisha uwekezaji unapiga hatua nchini, Serikali imeshauriwa kuwapa kipaumbele wawekezaji wa ndani na kuacha kujali wa nje.

 

11 years ago

Habarileo

Kipaumbele kwenye mpunga, miwa

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi za watoto kupewa kipaumbele

Mahakama imefanya mabadiliko katika kanuni za uendeshaji wa mashauri ya watoto, kwa kuandaa kanuni mpya kwa lengo la kuharakisha usikilizwaji na uamuzi wa kesi zinazowahusu.

 

9 years ago

Habarileo

Kipaumbele ni ukuaji uchumi wa wananchi

RAIS wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli amefungua Bunge la 11 na kuwataka watendaji kote nchini kuhakikisha wanashiriki katika vita ya kuondoa umasikini, ili ukuaji wa uchumi wa nchi uendane na ukuaji wa uchumi wa watu na kusisitiza kuongeza ajira kupitia viwanda.

 

9 years ago

Habarileo

Wataka kipaumbele uzazi wa mpango

BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.

 

11 years ago

Mwananchi

Kipaumbele kiwe ni kuboresha teknolojia

Dunia haitasahau mkutano wa maendeleo wa kimataifa kwa viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa (UN). Mkutano huo, uliofanyika mwaka 2000 na kupewa jina la Millenium Development Summit, ulikutanisha viongozi wa nchi 189 chini ya UN.

 

11 years ago

Mwananchi

Weledi ndiyo kipaumbele chetu

Leo imetimia miaka minane tangu tulipoanza kutoa Jarida la Starehe. Hakika miaka minane siyo umri wa kubeza, kwani kama ni binadamu basi ni mtoto ambaye tayari akili zake zimetulia na ni mwelewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani