U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE
![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGRB*H9JFQR9TqLvg94Cs0YmJG7BC*bSK7r-79vC8uqoxycdeXmtdoOs7cfJ7EOHZtZw0SSW54doLz8EwO1EjFdq/m_jpg120003fa.png?width=650)
Imekuwa ni kawaida kuambiwa fulani anaumwa U.T.I na watu wanachukulia ni suala la kawaida kutokana na kuwakumba watu wengi na ikumbukwe kuwa ugonjwa huu hushambulia zaidi akina mama kuliko wanaume. Leo tutaanza kuangalia maradhi hayo. Tatizo la maambukizi ya njia ya mkojo (Urinary Tract Infections) au kwa kifupi U.T.I kama ilivyozoeleka kwa wengi. Kwa kiasi kikubwa, labda na hata wewe msomaji pengine ni zaidi ya mara moja umewahi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
U.T.I janga lisilopewa kipaumbele-3
TULIANZA kupeana ufahamu juu ya maambukizi katika njia ya mkojo yaani U.T.I na tuliangalia chanzo na wiki jana tuliangalia dalili za ugonjwa huu.
Leo tutaangalia makundi mbalimbali ambayo yapo katika hatari ya kupata maambukizi haya.
Wagonjwa walioingiziwa mpira wa kusaidia kutoa mkojo (Catheter) huwa katika hatari kubwa ya kupata U.T.I. Hii inajumuisha wagonjwa waliolazwa, wenye matatizo ya magonjwa ya fahamu na hawawezi kutoa mkojo, pia wagonjwa waliopooza.
Wagonjwa walio na kinga ya mwili...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfBFjPNr3W*WLncbN8Sg6d-Y2fbLmE*LOynibPgBgm4CR370yyQxuVHymVDfvbDgVG0B8KHPqDst9DKe0YQ7xppt/urinaryinfection.jpg?width=650)
U.T.I; JANGA LISILOPEWA KIPAUMBELE-2
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Wawekezaji wa ndani wapewe kipaumbele
11 years ago
Habarileo11 Jul
Kipaumbele kwenye mpunga, miwa
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Kesi za watoto kupewa kipaumbele
9 years ago
Habarileo21 Nov
Kipaumbele ni ukuaji uchumi wa wananchi
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli amefungua Bunge la 11 na kuwataka watendaji kote nchini kuhakikisha wanashiriki katika vita ya kuondoa umasikini, ili ukuaji wa uchumi wa nchi uendane na ukuaji wa uchumi wa watu na kusisitiza kuongeza ajira kupitia viwanda.
9 years ago
Habarileo21 Oct
Wataka kipaumbele uzazi wa mpango
BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Kipaumbele kiwe ni kuboresha teknolojia
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Weledi ndiyo kipaumbele chetu