Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawekezaji wa ndani wapewe kipaumbele

Katika kuhakikisha uwekezaji unapiga hatua nchini, Serikali imeshauriwa kuwapa kipaumbele wawekezaji wa ndani na kuacha kujali wa nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wawekezaji wapewe fursa zakuwekeza nchini

Wadau wa sekta binafsi nchini wameitaka serikali iwapatie fursa zaidi za kuwekeza katika sekta ya reli ili kuendeleza biashara na kukuza uchumi wa nchi.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabakaji wapewe adhabu kali

Suala la kuwabaka wanafunzi haliko tu Kenya bali pia Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Tunayo mifano  mingi ya watu wazima wenye uwezo wa kifedha na pia wenye madaraka makubwa ya kiofisi wanaowarubuni wanafunzi  kwa kuwapa pesa kidogo au vitu vidogo vidogo ili  wafanye nao ngono. Hivi karibuni wanafunzi wa sekondari nchini Siera Leone, nchi iliyokumbwa na ugonjwa wa ebola, walikubwa na dhahama hii wakati wakiwa nyumbani baada ya shule kufungwa kwa kipindi kirefu. Wasichana hawa...

 

9 years ago

Habarileo

‘Mawakala wa vyama wapewe semina’

WAJUMBE wa Baraza la Amani mkoa Kigoma wameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwapa semina na maelekezo maalum mawakala wa vyama vya siasa ili kuondoa tofauti zinazojitokeza ambazo zinaweza kuvuruga uchaguzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ataka mawaziri wapewe meno

>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema ipo haja ya kubadili mfumo wa watendaji serikalini ili wanapoboronga nao wajibishwe na mawaziri.

 

9 years ago

Mwananchi

Isimani wapewe msaada kukabiliana na njaa

Jana tulichapisha makala ya kusikitisha yaliyochambua kwa kina tatizo la njaa linalowakabili wananchi katika Jimbo la Isimani, mkoani Iringa. Makala hayo yalitokana na uchunguzi wa gazeti hili uliofanywa jimboni humo na kushuhudia jinsi balaa la njaa linavyowatesa wananchi, kuathiri shughuli za maendeleo na hata kutishia maisha yao. Ni habari ya kusikitisha kwa jinsi wananchi wanavyotafuta chakula bila mafanikio kutokana na ukame wa muda mrefu.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete: NHC wapewe viwanja bure

RAIS Jakaya Kikwete ameziagiza halmashauri zote nchini kutenga maeneo ya ardhi kwa ajili ya kulipatia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) bila gharama ili liweze kutekeleza mradi wake wa ujenzi wa nyumba bora za bei nafuu.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yataka wafugaji wapewe ruzuku

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kushinikiza serikalini ili jamii za wafugaji zianze kupewa ruzuku ya mifugo kama ilivyo kwa wakulima nchini wanaopewa na serikali ruzuku ya pembejeo za kilimo.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA VIJANA WAPEWE FURSA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye uwanja wa Ruangwa Likangara tayari kuhutubia wakazi wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Wananchi wa Ruangwa wakionyesha furaha yao wakati wa kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM kwenye uwanja wa mkutano Ruangwa Likangara. Wananchi wa Ruangwa wakiwa na mabango yaliyobeba ujumbe wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kujenga na kukiimarisha chama,Katibu Mkuu wa CCM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani