Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAZARO SOKIONE AZIKWA, MAMIA WAMSINDIKIZA


Wakuu wa Mikoa ya Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka, Morogogo – Mhe. Loata Sanare, Tanga – Mhe. Martine Shigela na Arusha Mhe. Mrisho Gambo wakiweka shada la maua katika kaburi la Alazaro Sokoine, Monduli Mkoani Arusha

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo ameongoza watumishi wa Ofisi yake katika mazishi ya Alazaro...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMIA WAMSINDIKIZA MBOWE POLISI

MAMIA ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), asubuhi hii wamejitokeza kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi yaliyopo Posta jijini Dar es Salaam. Mbowe amefika makao makuu hayo kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake aliyoitoa Jumapili iliyopita ya kuitisha maandamano nchi nzima kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba. Katika tukio hilo,...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa achukua fomu za Urais Nec, maelfu wamsindikiza



EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa alisema;“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”Aidha...

 

9 years ago

Vijimambo

WENGI WAMSINDIKIZA KUCHUKUA FOMU MGOMBEA UBUNGE WA CCM, MBARALI.

Mgombea Ubunge PirMohamed akiwasili wilayani Mbarali kwa ndege binafsi alipoondea kuchukua fomu.Maandamano ya magari na pikipiki yakimsindikiza kuchukua fomu mgombea ubunge wa CCMMwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbarali, Matayo Mwangomo akimkabidhi barua ya kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo hilo PirMohamed kabla ya kuelekea kuchukua fomu.Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Adam Mgoyi akimkabidhi fomu ya kuwania kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM PirMohamed.Mgombea Ubunge kwa tiketi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Y P AZIKWA

Marehemu Yesaya Ambikile Mwakalekamo 'YP' amezikwa hii leo katika makaburi ya Changombe jijini Dar es salaam.Marehemu YP alifariki jana baada ya kuugua kifua na kulazwa katika Hospitali ya Temeke hadi mauti yalipo mkuta.Awali kabla ya maziko hayo YP aliagwa na ndugu jamaa na marafiki zake katuika viwanja vya sigara Chang'ombe ambapo wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo fleva na Bongo muvi walihudhuria.YP kabla ya kuhamia katika sanaa ya uimbaji na kuibuka na kundi la wanaume Family alikuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Kigoda azikwa

MTZ DAILY.inddAMINA OMARI, HANDENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, umezikwa katika Kata ya Chanika iliyopo Handeni mkoani Tanga.

Mazishi hayo yaliyofanyika jana yaliongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wakati wa mazishi hayo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, alisema Serikali imepoteza mtu mchapakazi, muadilifu na mwenye fikra za maendeleo ya mageuzi ya uchumi wa nchi hii.

Alisema Dk. Kigoda...

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI AZIKWA KIISLAM

Na Chande Abdallah
Maajabu! Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Spirit and Truth, Amani Rubeni Mirumbe ameushangaza ulimwengu kwa kujitabiria kifo na baadaye kufariki dunia kweli huku akiwaachia waumini na familia yake wosia wenye viashiria vya kuzikwa Kiislam, Amani linakujuza. Mwili wa mchungaji Amani Rubeni Mirumbe ukiagwa. Kifo hicho kilijiri saa 3:12 asubuhi ya Machi 24, mwaka huu, Mabibo jijini Dar es Salaam mahali...

 

9 years ago

Habarileo

Chiwango azikwa Dar

MWILI wa marehemu Willie Chiwango (61), ulizikwa jana kwenye makaburi ya Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam na maziko yake kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, wahariri na wadau wengine wa habari hapa nchini.

 

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO AZIKWA

Mwili wa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo ukiwekwa eneo la makaburi ya Masaki-Kasarawe tayari kwa maziko. Mwili wa Mzee Gurumo umezikwa makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko ya nguli huyo wa muziki wa dansi aliyefariki dunia juzi Jumapili Aprili 13, 2014. 

 

10 years ago

GPL

MAITI AZIKWA KIMAAJABU!

Katika hali isiyokuwa  ya kawaida na kushangaza, wananchi wa Mbezi Msakuzi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, walisusa na kuondoka makaburini kwa kile kilichodaiwa kuwa maiti ya Michael Kisanto (pichani) waliyotarajia kuizika iliwekwa ndani ya  jeneza kimaajabu. Mazishi ya Michael Krisanto yakiendelea. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Makaburi ya Makamba Msakuzi, Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani