ALAZARO SOKIONE AZIKWA, MAMIA WAMSINDIKIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4IDu2m4YgB0/XoSfJDSbvyI/AAAAAAALly0/5OFvIxYdTsQ6b5zmVrkY-wSk9ffdh8A6ACLcBGAsYHQ/s72-c/4AA-1-768x512.jpg)
Wakuu wa Mikoa ya Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka, Morogogo – Mhe. Loata Sanare, Tanga – Mhe. Martine Shigela na Arusha Mhe. Mrisho Gambo wakiweka shada la maua katika kaburi la Alazaro Sokoine, Monduli Mkoani Arusha
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo ameongoza watumishi wa Ofisi yake katika mazishi ya Alazaro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MAMIA WAMSINDIKIZA MBOWE POLISI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vboQU-MO6BM/default.jpg)
Lowassa achukua fomu za Urais Nec, maelfu wamsindikiza
EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa alisema;“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”Aidha...
9 years ago
VijimamboWENGI WAMSINDIKIZA KUCHUKUA FOMU MGOMBEA UBUNGE WA CCM, MBARALI.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qlxufolhCB8/VEewp7c5SzI/AAAAAAAAYRU/V31Q8Kuv-Ds/s72-c/1.jpg)
Y P AZIKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qlxufolhCB8/VEewp7c5SzI/AAAAAAAAYRU/V31Q8Kuv-Ds/s1600/1.jpg)
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Dk. Kigoda azikwa
AMINA OMARI, HANDENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, umezikwa katika Kata ya Chanika iliyopo Handeni mkoani Tanga.
Mazishi hayo yaliyofanyika jana yaliongozwa na Rais Jakaya Kikwete.
Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wakati wa mazishi hayo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, alisema Serikali imepoteza mtu mchapakazi, muadilifu na mwenye fikra za maendeleo ya mageuzi ya uchumi wa nchi hii.
Alisema Dk. Kigoda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJqp2iaorwnlt2*EdOSGKZDAc1Bn3dDqQEZboOECcAGnBWw0r23hsxbgAJ-mMoIWpcbUuX2tipcCeJz99S52vQ6/mchungaji.jpg?width=650)
MCHUNGAJI AZIKWA KIISLAM
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chiwango azikwa Dar
MWILI wa marehemu Willie Chiwango (61), ulizikwa jana kwenye makaburi ya Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam na maziko yake kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, wahariri na wadau wengine wa habari hapa nchini.
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-KFr4HCt4FrU/U00C6jYnYlI/AAAAAAAAFw8/tYy7k3DRv0Y/s1600/9131bf04c47511e3ae5c0002c9e12d88_8.jpg?width=650)
MZEE GURUMO AZIKWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmrFBqhsth7lvVKyXXkTX9Ih8CsLy-qOsctF55yQL9C6Im3JCd*-YvI5dHHrl6Q6wdDUh8BETIO7bjKAxx9rkD4w/maiti.jpg?width=650)
MAITI AZIKWA KIMAAJABU!