Alfonso Dhlakama atoka msituni
Alfonso Dhlakama aamua kujitokeza katika mji mkuu wa Mozambique,Maputo,baada ya miaka miwili kuwa mafichoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jul
Odinga- Nitarudi msituni
KIONGOZI wa muungano wa Cord, Raila Odinga ametangaza 'atarudi msituni' iwapo madai ya hoja walizoziorodhesha chini ya kampeni ya Okoa Kenya hazitatafutiwa ufumbuzi na Serikali.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni
9 years ago
Habarileo14 Dec
Wazazi wakubali kumzika mtoto aliyeuawa msituni
WAZAZI wakazi wa Kijiji cha Kamsisi wilayani Mlele katika Mkoa wa Katavi wamekubali kuuzika mwili wa mtoto wao Moshi Salehe (17) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi za moto na askari wa wanyamapori wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Jonas Savimbi, mtoto wa ‘mtumishi’ aliyeingia msituni
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Ningemwona Lowassa shujaa kama angekimbilia msituni
EDWARD Ngoyayi Lowassa, ni miongoni mwa Watanzania wachache katika
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wInLbhW3YZA/U_HAnFFd4SI/AAAAAAAGAX0/oxEebDelF6w/s72-c/Mshale%2Bwa%2BKifo.jpg)
ASHA BUI MWANAMKE PEKEE KUCHEZA FILAMU MSITUNI
Msanii huyo amedai alifanya hivyo kufuatia maoni ya wapenzi wa filamu ambao kila siku wanalalamika kwa kusema kuwa filamu zetu nyingi zimekuwa za mijini tu, huku baadhi ya matukio yakirudiwa kila katika sinema hizo jambo ambalo limekuwa likiongelewa mara kwa mara.
“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia...
11 years ago
Habarileo04 May
Jaji Bomani akejeli wanaotaka kwenda msituni Katiba mpya
JAJI mstaafu Mark Bomani amewashangaa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaodai kuwa wasipopata Katiba mpya watakwenda msituni na kuhoji wanakwenda huko kufanya nini wakati msituni ni kwa ajili ya wanyama na si binadamu.
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mbowe atoka hospitali