ALIYEVUNJWA TAYA AFANYIWA OPARESHENI, NDUGU WAOMBWA KUJITOKEZA
Emmanuel Nelson Chitepete akiwa hospitalini. Mwandishi wa Global TV Online & Mtandao, Gabriel Ng’osha, akikabidhi fedha kwa msimamizi wa wodi, Sista Masumbuko kutoka kwa Wasamaria wema waliochanga ili kumtibu mgonjwa huyo. KIJANA Emmanuel Nelson, mkazi wa Tabata-Relini, jijini Dar es Salaam, ambaye aliokotwa na polisi wa kituo cha… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV04 Mar
Wakazi Mtwara waombwa kujitokeza kuchangia damu.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu amewaomba wakazi wa mkoa huo kuhakikisha wanajitokeza kuchangia damu kutokana na kituo cha damu salama cha mikoa ya kanda ya kusini kuonekana kuwa na uhaba mkubwa wa Damu na hivyo kusababisha damu nyingi kuagizwa kutoka kanda nyingine pindi kunapotokea mahitaji ya damu kwa wagonjwa.
Dendegu ameyasema hayo katika uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya wanawake mkoa Mtwara.
Maadhimisho hayo yameanza kwa mkuu wa Mkoa wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s72-c/IMG_4053.jpg)
WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KWANZA LA KIPEKEE LA KUWAWEZESHA WANAWAKE NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s1600/IMG_4053.jpg)
“Tamasha hili limeandaliwa ili kuwaonesha wanawake na vijana umuhimu wa kuweka akiba, aina tofauti...
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JUfAkZuxykw/UzPUoT4AmyI/AAAAAAAA8jk/rcMHt1N9XaU/s72-c/IMG-20140327-WA0002.jpg)
MTANZANIA AFARIKI MAREKANI, NDUGU WA MAREHEMU WATAKIWA KUJITOKEZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JUfAkZuxykw/UzPUoT4AmyI/AAAAAAAA8jk/rcMHt1N9XaU/s1600/IMG-20140327-WA0002.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crLnidDuX6CKd9xgwWhlMQRtC4-fMUdp-MHTMsyh0OJZc05Vj7mu8N*19gnj-TZBqClf0aUM2odiKQF5cUHJ2wB/SHUKRANI.jpg)
MGONJWA WA TAYA ALISHUKURU IJUMAA
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Taya ya mtu wa kwanza yagunduliwa
10 years ago
GPLAVUNJIKA TAYA, AOMBA MSAADA WA 60, 000/= ATIBIWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXqZsFTbXuzpAV133PUajtSnzIJ9EAmpEITR2xZZMiDDY4ByNu3jHx7*f1zi4tdBblH9jS3qkrJvEFbG7ZWTFz2C/MGANGA.jpg?width=650)
MGANGA AMVUNJA TAYA MKEWE, MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA!