AROBAINI YA ZAINABU BUZOHERA DMV
Mume wa marehemu Zainabu Buzohera,Bw. Dullah akiwa katika picha ya pamoja na mdogo wa marehemu,Ngalu Buzohera kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab iliyofanyika Jumapili feb 9, 2014 kwenye mgahawa wa Tabeer uliopo Hyattsville, Maryland.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwaongoza Watanzania kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wetu Zainab Buzohera aliyefariki Jan 4, 2014 kwenye hosipitali ya Doctor's Community iliyopo Lanham,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s72-c/Zainab.jpg)
AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg)
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd, Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg?width=550)
FOURTY YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
11 years ago
GPLKISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV
11 years ago
Michuzi22 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--p3w4rT0z2s/VZ3XxDX7jCI/AAAAAAADw_o/1dA2aDF4dVg/s72-c/image%2B%25284%2529.jpeg)
NGALU BUZOHERA AKAMATA NONDO YA MASTER OF HEALTH SERVICES ADMINISTRATION
![](http://1.bp.blogspot.com/--p3w4rT0z2s/VZ3XxDX7jCI/AAAAAAADw_o/1dA2aDF4dVg/s640/image%2B%25284%2529.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OCf3sDPJ0wA/VZ3Xwtp9JhI/AAAAAAADw_g/SQRfTq0PLpc/s640/image%2B%25281%2529.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GE2IgO85AGU/VZ3Xw03mPpI/AAAAAAADw_k/x0Y15-ZyGos/s640/image%2B%25283%2529.jpeg)
10 years ago
Vijimambo20 Jan
ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NRbCLTE36QQ/XlepWe9kzKI/AAAAAAALfq4/_tLeRx9cDmcKUm_I2SozEF6NMUh7XxyNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.
Agizo hilo amelitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...
10 years ago
Michuzi20 Jan
MTOTO ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UH-7BfpXMZs/XtY-ZLnVttI/AAAAAAACL7M/Rr-bkNQczncofJPqxhZWTkm8M9pSI24xwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0005.jpg)
DC ZAINABU KAWAWA AGAWA VITAM ULISHO VYA WAJASILIAMALI BAGAMOYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UH-7BfpXMZs/XtY-ZLnVttI/AAAAAAACL7M/Rr-bkNQczncofJPqxhZWTkm8M9pSI24xwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0005.jpg)
Tukio lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ambapo vitambulisho hivyo vinatarajia kuingiza shilingi milioni 38, 200,000/- ambapo kitambulisho kimoja kinagawiwa kwa wananchi kwa shilingi 20,000/-. (Picha na Scola Msewa, Bagamoyo)