Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AROBAINI YA ZAINABU BUZOHERA DMV

Mume wa marehemu Zainabu Buzohera,Bw. Dullah akiwa katika picha ya pamoja na mdogo wa marehemu,Ngalu Buzohera kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab iliyofanyika Jumapili feb 9, 2014 kwenye mgahawa wa Tabeer uliopo Hyattsville, Maryland. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwaongoza Watanzania kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wetu Zainab Buzohera aliyefariki Jan 4, 2014 kwenye hosipitali ya Doctor's Community iliyopo Lanham,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV

Zainab Buzohera enzi ya uhai wake
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd,  Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...

 

11 years ago

GPL

FOURTY YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV‏

Zainab Buzohera enzi ya uhai wake. Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd,
Hyattsville, MD 20783.
Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili...

 

11 years ago

GPL

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV‏

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiongea kwenye kisomo cha mpendwa wetu Zainab Buzohera kulichofanyika jana Jumanne Jan 7, 2013 katika ukumbi wa mirage uliopo Langeley Park, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV na majimbo mengine kama New York, New Jersey, Massachusetts, Georgia, Ohio, Pennsylvania na kwingineko. Mwili utaondoka leo Jumatano Jan 8, 2014 na kufika Ijumaa Dar ses Salaam, Tanzania siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NGALU BUZOHERA AKAMATA NONDO YA MASTER OF HEALTH SERVICES ADMINISTRATION

Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama yake mzazi Mrs.Rehema Buzohera mfanyakazi Hazina,wizara ya Fedha  Dar es Salaam Tanzania siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama mkubwa Zainab Kastico siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Kutoka kushoto ni mama mkubwa Zainab Kastico,...

 

10 years ago

Vijimambo

ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Zainabu 'IKOTA' Mhamila kushoto akimlisha keki mama yake mzazi Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika juzi nyumbani kwao buguruni LozanaZainabu 'Ikota' mhamila 'Super D' akiwa katika pozi uku akiwa na keki yakeZainabu 'Ikota' mhamila 'Super D' akiwa katika picha ya pamoja na rafikizake siku ya kusherekea siku yake ya kuzaliwaZainabu 'IKOTA' Mhamila kushoto akimlisha keki mama yake mzazi Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika...

 

5 years ago

Michuzi

DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma  na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu  maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.

Agizo hilo amelitoa  wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

MTOTO ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Mtoto Zainabu 'IKOTA' Mhamila (kulia) akimlisha keki mama yake mzazi Bi. Asha Kamnyanga wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika juzi nyumbani kwao Buguruni Rozana.Zainabu 'Ikota' Mhamila 'Super D' akiwa katika pozi huku akiwa na keki yake.Zainabu 'Ikota' Mhamila 'Super D' akiwa katika picha ya pamoja na rafiki zake siku ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa.

 

5 years ago

CCM Blog

DC ZAINABU KAWAWA AGAWA VITAM ULISHO VYA WAJASILIAMALI BAGAMOYO

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani Zainabu Kawawa (kushoto) akimkabidhi vitambulisho 1910 vya Wajasiliamali kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze Zainabu Makwinya ili akavigawe kwa wananchi wa halmashauri hiyo.

Tukio lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ambapo vitambulisho hivyo vinatarajia kuingiza shilingi milioni 38, 200,000/- ambapo kitambulisho kimoja kinagawiwa kwa wananchi kwa shilingi 20,000/-. (Picha na Scola Msewa, Bagamoyo)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani