Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


asenali washerehekea ubingwa wa FA mitaa ya London kwa mbwembwe

 Basi likiwa na wachezaji wa Arsenal likipita mitaa ya London kulikofurika mashabiki kila kona kushangilia ushindi wao wa ubingwa wa FA walioupata baada ya miaka 9 Mzee mzima Asene Wenger bado haamini kuwa kalinyakua....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AKINA MAMA WA MENNESOTA WASHEREHEKEA SIKU YAO KWA MBWEMBWE

Mama akipiga ngoma kwa ustadi kabisa siku ya akina mama dunia huko pande za Minnesota  Akina mama usharika wa kiswahili wakimsikiliza mama mwenzao katika sherehe za siku ya akina mama duniani.
 Akina mama wakipa ukodak kwenye sherehe hiyo Akina baba nao walikuwepo kwani palipo akina mama akinababa uwepo kutoa support. Mama akismile mbele ya ukodak kiroho safi

 

9 years ago

Michuzi

Watanzania London washerehekea ushindi wa Dkt. Magufuli

Vijana wa Kitanzania jijini London wakisherehekea ushindi wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Mgufuli jijini humo usiku wa kuamkia leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sitta waanza kwa mbwembwe

Mwanza/Dodoma/Dar. Makada wanaoomba kupitishwa na CCM kuwania urais jana walianza kusaka wadhamini kwa staili ya aina yake baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuibuka na basi la kifahari atakalotumia kuzunguka mikoani, huku Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akitua Mwanza kwa ndege.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee atoka jela kwa mbwembwe

HATIMAYE Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake nane wametoka gerezani baada ya kukamilisha masharti ya dhamana. Juzi Mdee na...

 

10 years ago

Mwananchi

URA yaichapa Simba kwa mbwembwe

Simba imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

BIG BON WASHEREHEKEA VALENTINE'S DAY KWA KUTOA ZAWADI KWA WATEJA WAO

Wafanyakazi wa kituo cha kuuza mafuta cha Big Bon kilichopo Sinza-Mori jijini Dar es Salaam wakipozi huku wakiwa na zawadi za Valentine's kwa ajili ya wateja wao. Mmoja wa wafanyakazi wa Big Bon akimpatia mteja zawadi kwa ajili ya Siku ya Wapendanao.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.

 

9 years ago

Habarileo

Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu

RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba

MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani