AU:Wagonjwa wa Ebola wasibaguliwe
Umoja wa Afrika umetoa wito wa kutaka janga la Ebola likabiliwe kwa njia isiyosababisha upweke au kuwabagua wagonjwa au Mataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
WHO:70% ya wagonjwa wa Ebola wanakufa.
10 years ago
Habarileo20 Aug
Wagonjwa 17 wa ebola ‘watoweka’
WATU 17 wenye homa ya ebola wametoweka nchini Liberia baada ya kituo kinachohudumia wagonjwa hao kuvamiwa, imethibitisha Serikali ya Liberia.
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Ebola:Wagonjwa warejeshwa nyumbani
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Wanaowaficha wagonjwa wa Ebola mashakani
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Wagonjwa wa Ebola waongezeka Guinea
11 years ago
Habarileo13 Aug
Hospitali za wagonjwa wa ebola zatajwa
PAMOJA na kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa mwenye virusi vya homa hatari ya ebola, wala anayehisiwa kuwa na ugonjwa huo nchini, Serikali imeshajiandaa kukabiliana na ugonjwa huo, ambao umeshaua zaidi ya watu 1,000 katika nchi za Afrika Magharibi.
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wagonjwa wa Ebola wasakwa Sierra Leone
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Ebola:Msako wa wagonjwa kufanywa S.Leone