Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO:70% ya wagonjwa wa Ebola wanakufa.

Shirikisho la Afya Duniani limeonya kuwa asilimia 70% ya wagonjwa wa Ebola wanapoteza maisha yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wagonjwa 17 wa ebola ‘watoweka’

WATU 17 wenye homa ya ebola wametoweka nchini Liberia baada ya kituo kinachohudumia wagonjwa hao kuvamiwa, imethibitisha Serikali ya Liberia.

 

10 years ago

BBCSwahili

AU:Wagonjwa wa Ebola wasibaguliwe

Umoja wa Afrika umetoa wito wa kutaka janga la Ebola likabiliwe kwa njia isiyosababisha upweke au kuwabagua wagonjwa au Mataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola waongezeka Guinea

Kukosekana kwa elimu ya ebola kwa sababisha madhara zaidi nchini Guinea, Afrika magharibi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini

Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini

 

11 years ago

Habarileo

Hospitali za wagonjwa wa ebola zatajwa

PAMOJA na kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa mwenye virusi vya homa hatari ya ebola, wala anayehisiwa kuwa na ugonjwa huo nchini, Serikali imeshajiandaa kukabiliana na ugonjwa huo, ambao umeshaua zaidi ya watu 1,000 katika nchi za Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wagonjwa warejeshwa nyumbani

Shirika la MSF linasema limezidiwa na idadi ya wagonjwa wa Ebola kiasi kwamba wanalazimika kuwarudisha wagonjwa nyumbani

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowaficha wagonjwa wa Ebola mashakani

Bunge la Sierra Leone limepitisha sheria inayotoa hukumu ya miaka miwili jela kwa mtu atakayemficha mgonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Msako wa wagonjwa kufanywa S.Leone

Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone amesema kuwa msako unaanza kote nchini humo kuwatambua watu walio na ugonjwa wa ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola wasakwa Sierra Leone

Sierra leone imeonya kuwa ni uhalifu mkubwa kwa mtu yeyote kuwapatia maficho watu wanaougua ugonjwa wa ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani