Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba Mjaluo akodisha limousine, Range Rover & Chrysler 300 kumchukua mwanae aliyezaliwa hospitali

Sasa ndio nimeelewa Wakenya wanamaanisha nini wanaposema Luo si kabila tu, bali:“being Luo is a lifestyle!”“Being Luo is a calling…”“Being Luo is an obligation…”Huko Kenya, huyu jamaa, Mr Otieno amekodisha magari matatu; Hummer Limousine, Range Rover, na Chrysler 300 kwenda hospitalini kumchukua mwanae kichanga aliyezaliwa; magari yote hayo yakiwa yamepachikwa sticker zenye jina la mtoto huyo: Tyler Cole Otieno. Jionee mwenyewe vitimbi hivyo katika picha Hpa chini kwenye read more.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Tyga apanga kumchukua mwanae kutoka kwa Blac Chyna akidai mama yake anakula bata 24/7

Tyga anadhani Blac Chyna hana uwezo wa kumlea vyema mwanae sababu muda mwingi amekuwa akijirusha na kula bata. Rapper huyo ana wasiwasi kuwa Blac Chyna anavutiwa zaidi kwenda club kuliko kumlea mtoto wao mwenye miaka 2 King Cairo, na sasa amepanga kuiomba mahakama impe ruhusa ya kuishi naye. Tyga anaamini mzazi mwenzie amepoteza focus ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Msimu wa Valentine’s: Jose Chameleone amzawadia mkewe Range Rover!

Jose Chameleone si mtu wa vitu vidogo. Sehemu ya maegesho ya magari kwenye nyumba yake inazidi kujaa baada ya kuamua kumzawadia mke wake gari aina ya Range Rover kama zawadi ya msimu wa Valentine’s. “Happiness can be described in a smile on your face. But can also be described by the happiness and smile on […]

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kununua Prado, Nay wa Mitego asema ‘kinachofuata ni Range Rover’

Nay wa Mitego amesema akimaliza ujenzi wa nyumba yake mpya ya kifahari iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam, atanunua gari aina ya Range Rover. Gari mpya ya Nay wa Mitego Nay ambaye amenunua gari mpya, Prado Land Cruiser hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa lengo lake ni kumiliki Range. “Bado sijapata gari ninayoihitaji, mpango wangu ni […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Tajiri wa Saudi atikisa London na Range Rover ya dhahabu yenye plate number ‘666’

‘666’ inatambulika kwenye biblia kama namba ya shetani aka ‘The Number of the Beast’ au kwa Kigiriki ‘Arithmos tou Thēriou’ lakini kwa tajiri mmoja wa Saudi Arabia, herufi hizo zinazosomeka kama plate number ya gari yake ya kifahari aina ya Range Rover. Hata hivyo gari hiyo pia si ya kawaida kiasi cha wakazi wa London, […]

 

11 years ago

GPL

BABA ACHOMA MOTO MWANAE

Stori: Francis godwin, Iringa
HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati  wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba  wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi

MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais

DSC03122

Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake  Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.

Na Nathaniel Limu, Singida

BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI


Daraja
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...

 

10 years ago

Vijimambo

Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!

Diamond Platnumz kama mwanaume yeyote yule anayetarajia kuwa baba kwa mara ya kwanza tena kupitia mwanamke ampendaye, amepania vilivyo kumkaribisha mwanae kwenye sayari ya dunia.Staa huyo ambaye hivi karibuni alikuwa nchini India, amepost picha akiwa supermarket kununua midoli kadhaa kwaajili ya mwanae huyo ajaye.“Ushamba huu, eti nimeshaanza kununua vitoy vya kuchezea,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani