Baba Mjaluo akodisha limousine, Range Rover & Chrysler 300 kumchukua mwanae aliyezaliwa hospitali
Sasa ndio nimeelewa Wakenya wanamaanisha nini wanaposema Luo si kabila tu, bali:“being Luo is a lifestyle!”“Being Luo is a calling…”“Being Luo is an obligation…”Huko Kenya, huyu jamaa, Mr Otieno amekodisha magari matatu; Hummer Limousine, Range Rover, na Chrysler 300 kwenda hospitalini kumchukua mwanae kichanga aliyezaliwa; magari yote hayo yakiwa yamepachikwa sticker zenye jina la mtoto huyo: Tyler Cole Otieno. Jionee mwenyewe vitimbi hivyo katika picha Hpa chini kwenye read more.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Dec
Tyga apanga kumchukua mwanae kutoka kwa Blac Chyna akidai mama yake anakula bata 24/7
10 years ago
Bongo519 Feb
Msimu wa Valentine’s: Jose Chameleone amzawadia mkewe Range Rover!
9 years ago
Bongo515 Sep
Baada ya kununua Prado, Nay wa Mitego asema ‘kinachofuata ni Range Rover’
11 years ago
Bongo504 Aug
Picha: Tajiri wa Saudi atikisa London na Range Rover ya dhahabu yenye plate number ‘666’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsF--P4QvugJJOkbQXiD1Y0gA3zB6wrrMxpGJ3XcIlfpwkxBe8K1aA4C8KQHLQ-I9yNwvm4nWLSVGgUDN-GwZs5v/mafuriko1.jpg?width=650)
BABA ACHOMA MOTO MWANAE
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi
MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais
Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.
Na Nathaniel Limu, Singida
BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...
10 years ago
Vijimambo09 Jan
KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/12/141112112238_tower_bridge_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s72-c/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!
![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s640/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6yjNok5D68Q/VNuTHVTWnpI/AAAAAAAAGRE/GRxV3DsVQsE/s1600/Diamond%2BPlatnumz.jpg)