Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bado tembo wanakwisha Selous

Miongoni mwa vitu ambavyo taifa inalitegemea katika kuongeza mapato ni utalii. Lakini sasa hakuna wanyama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TEMBO WANAKWISHA, WACHACHE WANANUFAIKA, UCHUMI UNADIDIMIA

Balozi Khamis Kagasheki. NIMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, mimi na wewe msomaji wangu.
Baada ya kumshukuru Muumba niende moja kwa moja kusema kwamba nimesikitika sana na nahisi moyo kunitetemeka baada ya kuelezwa kwamba inatabiriwa kuwa baada ya miaka saba ijayo, kama jitihada hazitafanyika, tembo watatoweka katika ardhi ya Tanzania, huku wachache wakifaidika. Imeelezwa kuwa kwa siku, katika mbuga mbalimbali nchini, tembo...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyalandu: Hakuna tembo aliyeuawa Selous karibuni

Serikali imesema vita vya kupambana na ujangili vinaonyesha mafanikio katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita na hakuna taarifa za kuuawa kwa tembo katika Pori la Akiba la Selous.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini

tembo-620x308

Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.

Na Rabi Hume

Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka

AUNT1

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii  wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.

Kwa  taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...

 

10 years ago

Michuzi

uzi wa wenzetu, sie bado bado kwanza...

 Uganda  Kenya Burundi Rwanda

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo kamili, Phiri bado bado

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amejigamba kuwa kikosi chake kipo tayari kila idara kwa Ligi Kuu Bara, lakini mwenzake Patrick Phiri wa Simba ana kazi ya kuimarisha ubora katika safu yake ya ulinzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Ujangili wapungua Selous’

KUTOKANA na jitihada kadhaa zilizofanywa na serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii juu ya mapambano dhidi ya ujangili, idadi ya Tembo katika mbuga ya Selous imeanza kuongezeka. Hiyo inatokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani