TEMBO WANAKWISHA, WACHACHE WANANUFAIKA, UCHUMI UNADIDIMIA

Balozi Khamis Kagasheki. NIMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, mimi na wewe msomaji wangu. Baada ya kumshukuru Muumba niende moja kwa moja kusema kwamba nimesikitika sana na nahisi moyo kunitetemeka baada ya kuelezwa kwamba inatabiriwa kuwa baada ya miaka saba ijayo, kama jitihada hazitafanyika, tembo watatoweka katika ardhi ya Tanzania, huku wachache wakifaidika. Imeelezwa kuwa kwa siku, katika mbuga mbalimbali nchini, tembo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Bado tembo wanakwisha Selous
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Uchumi wa zimbabwe unadidimia ;IMF
9 years ago
Bongo517 Nov
P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao

Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.
“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Wahitimu wa kike bado wachache’
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume. Amesema serikali imekuwa ikifanya...
10 years ago
Habarileo05 Jul
Gesi yahujumiwa inufaishe wachache
JITIHADA za Serikali kuhakikisha rasilimali adimu ya gesi yenye fursa ya kutokomeza umasikini kwa Watanzania wote inanufaisha umma zaidi, zimeendelea kupingwa ili rasilimali hiyo inufaishe sehemu ndogo ya jamii.
10 years ago
Mwananchi02 Jul
UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi