Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa EU asifu mchakato nzima

Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi amepongeza jinsi mchakato mzima wa Katiba Mpya ulivyoenda na kupongeza uamuzi uliofanywa wa kusitisha mchakato huo hadi baada ya Uchaguzi Mkuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Balozi wa DRC asifu hatua za Magufuli

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambaye anamaliza muda wake, Juma-Alfani Mpango ambaye amesifia hatua za Rais John Magufuli anazochukua hivi sasa.

 

10 years ago

Vijimambo

MCHAKATO WA KUANZISHA AGENDA YA MAENDELEO UNARIDHISHA, BALOZI MWINYI

 Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Mhe. Balozi Ramadhani Mwinyi akitoa hotuba kwa wajumbe wa Kamati ya Pili inayoshughulikia masuala ya uchumi na maendeleo jijini New York, Marekani. Wanaoekana nyuma ni Bw, Songelael Shilla, Afisa wa Ubalozi wa Tanzania katika Umoja > wa Mataifa na Bibi Haikael Shishira, Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. 
 Balozi Mwinyi akiendelea kuwasilisha hotuba yake, huku Bw. Shilla na Bibi Shishira...

 

9 years ago

Habarileo

Duni asifu utendaji wa polisi

MGOMBEA mwenza wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji, ameeleza kuridhishwa na utendaji wa Jeshi la Polisi katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu asifu Katiba iliyopo

WAKATI mchakato wa mabadiliko ya Katiba ukitarajiwa kuendelea katika ngazi ya Bunge Maalumu la Katiba Agosti mwaka huu, Askofu Mkuu mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Damian Dallu, amesifu Katiba iliyopo kwa kuunganisha Watanzania kwa miaka 50.

 

11 years ago

Mwananchi

DK Shein asifu ushirikiano wa China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Rais Xi Jinping wa China na kujadili jinsi nchi hiyo inavyoweza kuchochea kasi ya maendeleo ya Wazanzibari.

 

10 years ago

Habarileo

Asifu uhusiano wa Zanzibar na Comoro

MUFTI Mkuu wa Zanzibar, Shehe Saleh Kabi amesema Zanzibar inayo mengi ya kujifunza kutoka kwa ndugu zao wa Visiwa vya Ngazija, ikiwemo elimu ya dini ya Kiislamu ambayo wamepiga hatua kubwa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

JK asifu ushirikiano TZ na Afrika Kusini


NA MWANDISHI WETU
RAIS  Jakaya  Kikwete amesifu uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini na kwamba haujawahi kuwa mzuri kama ilivyo sasa.
Amesema ni muhimu kwa Afrika Kusini kuendelea kuonyesha uongozi mzuri katika Ukanda wa Kusini mwa Afrika kwa sababu kwa kufanya hivyo,Afrika Kusini itakuwa inatimiza jukumu lake la kihistoria.
Rais Kikwete aliyasema hayo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati akiagana na Balozi wa Afrika Kusini hapa Tanzania , Thanduyise Henry Chiliza...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri asifu uzalishaji mali JKT

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amesema kazi za uzalishaji mali zinazofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), zimetoa hamasa kwa vijana wengi kujiunga na mafunzo yanayotolewa na jeshi hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani