BANDARI MTWARA YAJIDHATITI KUONGEZA UWEZO WA KUHUDUMIA MIZIGO
Meneja wa Bandari ya Mtwara, Bw. Absalom Bohella (Kuliai) akizungumza na Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilimpotembelea Ofisini kwake kukagua kukagua mirdai ya maendeleo Bandari hapo. Kutoka kushoto ni viongozi wa Timu hiyo, Prof. Longinus Rutasitara (Wakwanza Kushoto) na Bibi Florence Mwanri (Katikati).
Afisa Miradi Mwandamizi wa Bandari ya Mtwara, Bw. Norbert Kalebwe (Kushoto) akitoa maelezo ya uendelezaji wa maeneo ya Bandari hiyo kwa Timu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
#UNTZ: UNCDF kuendelea kusaidia kujenga uwezo wa kifedha kuhudumia maendeleo
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa, akizungumza kwenye mkutano wa watendaji waandamizi wa serikali kutoka katika Ofisi ya WaziriMkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) pamoja na waandishi wa habari kuhusiana na Programu ya Utafutaji Fedha Nchini kwa maendeleo ya wananchi (Global Local Finance Initiative (LFI) ambayo ilianza katika awamu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s72-c/1.jpg)
MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-B9fYcsbe79o/VTCiZ8fmrYI/AAAAAAAHRmU/D4mx5_lOycA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mfumo mpya wa undoshaji Mizigo (TANCIS) kuongeza uwazi na uwajibikaji
Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa unasaidia katika kufanya makadirio ya kodi sahihi kulingana na taarifa sahihi zilizoletwa kwa kutumia mfumo huo, pia utasaidia wateja kujua sehemu mizigo yao ilipo na pia wanapaswa kulipa kiasi gani kulingana na mzigo wa mteja, wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Habarileo13 Oct
Dangote ‘kufumua‘ bandari ya Mtwara
UWEZO wa bandari ya Mtwara unatarajiwa kuongezeka mara dufu kufuatia kufunguliwa rasmi kwa kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Bandari Mtwara watakiwa kuimarisha ulinzi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk. Cherles Tizeba, ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), mkoani Mtwara, kusimamia kwa umakini uimarishaji ulinzi kwenye bandari hiyo. Agizo hilo, alilitoa hivi karibuni...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s72-c/pix%2B1.jpg)
TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6SNioTbuN6s/VNmOX_wLg-I/AAAAAAACzpw/S99LhH8W-Aw/s1600/pix%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziMICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFLsZc2IWKc/VH15pTp3TtI/AAAAAAACvr4/So2hk3dudaI/s1600/unnamed.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10