Bandari ya Tanga ilindwe dhidi ya hujuma
Habari tuliyochapisha jana ikisema kwamba baadhi ya wafanyabiashara ya mafuta wanadaiwa kuihujumu Bandari ya Tanga zitakuwa zimewasikitisha na kuwasononesha wananchi wengi kutokana na umuhimu wa bandari hiyo katika uchumi wa Mkoa wa Tanga na Taifa kwa jumla
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hujuma Bandari ya Tanga
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hali ni ngumu Bandari Tanga
10 years ago
Habarileo18 Jun
Mafuta kupita bandari Tanga
SERIKALI imesema inatarajia kuanza kutumia bandari ya Tanga katika kuingiza mafuta ili kupunguza msongamano na ucheleweshwaji wa upakuaji katika bandari ya Dar es Salaam pamoja na kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa nishati hiyo.
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Bandari ya Tanga yalalamikia vitendea kazi
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Bandari ya Tanga sasa kupunguza foleni Dar
5 years ago
MichuziNDITIYE ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA BANDARI YA TANGA
Serikali Kutumia Shilingi Bilioni 172 Kuboresha Bandari Hiyo
Itakuwa na Uwezo wa Kuhudumia Meli Yenye Uzito wa Tani 35,000
Na Prisca Ulomi, WUUM, Tanga
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ameridhishwa na kasi ya upanuzi wa Bandari ya Tanga baada ya kushuhudia kazi inayoendelea kufanyika kwenye bandari hiyo wakati wa ziara yake mkoani humo
Nditiye amesema kuwa tayari Serikali imepanga kutumia shilingi bilioni 172 kwa ajili ya kupanua bandari hiyo kwa kuongeza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s72-c/20150602125744.jpg)
MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s640/20150602125744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TASYiCtvGys/VW4NSm8fogI/AAAAAAAHbgo/CuNbmiwB0qc/s640/20150602125748.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6XhSpjlxRk/VW4NSAned8I/AAAAAAAHbgg/rxowOLTEBmg/s640/20150602125746BN.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Oct
TCRA yasisitiza amani ya nchi ilindwe
10 years ago
Habarileo01 Nov
Bunge lataka miundombinu DART ilindwe
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi nchini ili kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wa miundombinu ya mradi huo ambayo imekuwa ikihujumiwa na baadhi ya watu.