BANZA ARUDIA MITUNGI
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q30x5TS81-Ygl7aEdk3mp8lHi-kpXvhwNxTo69X*zxUrkZipp5XoKEi1TFGgT3bGPh7t-hkG3F*WN099PfOJYpi/BANZA.jpg?width=650)
STAA mkubwa wa muziki wa dansi nchini, Ramadhani Masanja ‘Banza stone’ ambaye anasifika kwa ulevi wa kupindukia na hivi karibuni aliripotiwa kuacha, inadaiwa amerejea tena, safari hii kwa kiwango cha kutisha. Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’ alipokuwa akihojiwa na Global TV Online. Chanzo makini kutoka ndani ya familia ya mwanamuziki huyo anayefanya kazi na bendi ya Extra Bongo, kimeliambia gazeti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Jackline Wolper arudia dini yake
MIEZI michache baada ya kuapa kwamba hatobadilisha tena dini kwa kwani kwa kufanya hivyo, ni sawa na kumchezea Mungu, mwigizaji mwenye nyota kali, Jackline Wolper, ameshindwa kusimamia kiapo hicho na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmlw9KuHqAGy*PefSqsHnXZLM3sXfOabYBS-P8vf-6aoCrRM9UI*Qsh5gT2Kh5wWEID*z6bdyGv8VzFSCT2glpd6/KAJALA.jpg)
KAJALA AJUTA KUPIGA MITUNGI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--UtKuQaiXHUc1X4OLrQSKNBRmFDyeeh8mt2GzNeGYyGU1yEjdE5kOScgK1pH4disTNUgmJHCwkXzgterf9P9so/johari.jpg?width=650)
JOHARI APIGA MITUNGI KWA FUJO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NIRIKy1O8G084T-acCbh5rgtS*wVPhl5ixHsYDk6IZO4HtqYR-*08jthIM0Zq2t9H2uQ4jtvr6vohJhec0HuXD/riyama.jpg?width=650)
RIYAMA NJIA PANDA KWA MITUNGI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQPOOnJLG1LSg*nHR-TfGCGMp2qXgzJeulSqwG6H89XV5bJ60pW5sFKGJjt1nJ3k53gR-oFaRDNLMvA39TUaSntB/maya.jpg?width=650)
MAYA APIGWA MAOMBI, AZUIWA MITUNGI
10 years ago
GPL29 Sep
WEMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YAKE KWA MITUNGI
10 years ago
Vijimambo05 Jun
BANZA TUNAMWACHIA MUNGU
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2739846/highRes/1027245/-/maxw/600/-/bb5xt2/-/01-Banza.jpg)
Mwanamuziki Banza Stone
Banza kweli anaumwa, amedhohofika, amepoteza ubora wake wa afya ya mawazo, mwili na utimamu kwa jumla. Familia yake inaelezea kwamba kwa sasa angalau kidogo afya yake imeimarika, lakini kwa mtu uliyekuwa unamfahamu Banza, huwezi kukubaliana nao. Ni kwa jinsi anavyoonekana na kile anachokifanya au kukujibu.
UKIMWANGALIA mwanamuziki, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kuanzia juu mpaka chini, ukijumlisha na mambo anayozungumza yeye, yanayosemwa na familia yake pamoja na hali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXL57zD49YRCH1*6KUi-4RKVSUNOB1D2FD-QaL1Wd5mWwSgJ93ory1Y94ofN4e7t*Rqk-Pw*nrK*lRchbjChdNqn/BACKWIKIENDA.gif?width=650)
BANZA TUMWACHIE MUNGU!