Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bao la Tambwe lasababisha trafiki avunje kiti

Na Martha Mboma
BAO la kwanza la mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, lilisababisha askari wa usalama barabarani ‘traffic’ aliyekuwa na sare za kazi, kushangilia na kuvunja kiti Uwanja wa Taifa, Dar kutokana na furaha iliyozidi.
Juzi, Simba na Yanga zilicheza mchezo wa Nani Mtani Jembe, Simba ikashinda mabao 3-1. Championi lilishuhudia tukio hilo uwanjani hapo. Baada ya Tambwe ambaye alipachika mabao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAO LA TAMBWE LA ZUA TAFRANI SIMBA HUKO

Mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe.
Na Wilbert MolandiBAO la dakika ya saba lililofungwa na mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe, limezua tafrani kwa mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba.Mrundi huyo alifunga bao hilo katika mchezo wa nane wa Ligi Kuu Bara, dhidi ya Azam FC, uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wake wa kwanza kuitumikia timu hiyo.
Tafrani kubwa iliibuka uwanjani hapo, mara baada ya Tambwe...

 

9 years ago

Dewji Blog

Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?

Kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA ya JEMBE FM Mwanza stori ya Traffic aliyetumbukia mtaroni akiendesha bajaji ya mizigo aliyoikamata kutoka kwa dereva wa bodaboda imesikika, nini kisa na mkasa kwa ufupi ni kwamba> Mara baada ya kumkamata mwendeshaji Hamisi Omary kwa kusa la kupakia mzigo mkubwa wa mbao alimwamuru kulipa faini ya shilingi elfu 30, naye Hamisi akamwomba msamaha kwa Traffic huyo kwamba ni fedha nyingi sana ambayo hawezi kuilipa kwa hata kipato anachokipata toka kwa tajiri...

 

5 years ago

Michuzi

JANGA LA CORONA LASABABISHA UKATA TWANGA PEPETA


Yassir Simba, Michuzi Tv MMILIKI na Mkurugenzi wa bendi ya muziki wa dansi nchini ya Twanga Pepeta, Asha Baraka amedai bendi yake sasa haiko sawa kiuchumi kutokana na janga la Corona. 
Mkurugenzi wa bendi hiyo ameyasema hayo katika mahojiano yake na kipindi cha clouds 360 kinachorushwa na clouds TV.
Asha Baraka amedai kwamba kutokana na janga hilo la Corona kumesababishwa kufungwa kwa baadhi ya kumbi za starehe na kupelekea bendi hiyo kukosa maonyesho ambapo amedai amesaidia  kuwalipa msharaha...

 

11 years ago

GPL

MJUMBE AMTAKA JK AVUNJE BUNGE LA KATIBA

Rais Jakaya Kikwete. Stori: Mwandishi Wetu
KUFUATIA sintofahamu inayozuka kila kukicha ndani ya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, mbunge mmoja wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (jina tunalo) ameibuka na kumtaka Rais Kikwete ‘JK’ kulivunja bunge hilo. Akizugumza na Ijumaa Wikienda Jumamosi iliyopita kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini, mbunge huyo kutoka Chama cha Mapinduzi ‘CCM’...

 

11 years ago

GPL

VAI WA UKWELI NUSURA AVUNJE MGUU!

Na Hamida Hassan MUIGIZAJI wa filamu Bongo Movies, Isabela Francis ’Vai wa Ukweli’ nusura avunje mguu chumbani kwake baada ya bwana’ake Boniface kuibukia uvunguni mwa kitanda ghafla. Muigizaji wa filamu Bongo, Isabela Francis ’Vai wa Ukweli’. Akipiga stori na Amani, Vai alisema tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo pasipo kujua lengo lake, mchumba wake huyo alijificha uvunguni kama mtu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe amtaka Kikwete avunje Baraza la Mawaziri

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Jakaya Kikwete kulivunja Baraza la Mawaziri na kuunda jipya kutokana na tuhuma za ufisadi.

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Trafiki punguzeni ajali - RC

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo MKUU wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo amewataka askari wa Usalama Barabara (trafiki), kuacha kuwa na huruma nyingi pale wanapokamata magari yenye matatizo.

 

10 years ago

Mtanzania

Trafiki watatu wafukuzwa kazi

traffic mapenziNA RENATHA KIPAKA, BUKOBA

JESHI la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari wake watatu kwa kulifedhehesha jeshi hilo kutokana na kitendo cha kupiga picha inayowaonyesha wawili kati yao wakinyonyana ndimi wakiwa kazini.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema kitendo kilichofanywa na askari hao kimeshusha hadhi ya jeshi.

Aliwataja askari hao waliofukuzwa ni F.7788 PC Mpaji Mwasumbi, G 2122 PC Fadhili Linga na WP.8898 Veronica...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani