Baraza la Magufuli lachambuliwa
Elizabeth Hombo na Jonas Mushi
BAADHI ya wachambuzi na wanasiasa wamempongeza Rais, Dk. John Magufuli kwa kuteua baraza la mawaziri kwa kuwa na idadi ndogo, huku wakitoa kasoro mbalimbali.
Akizungumza na MTANZANIA baada ya kutangazwa kwa baraza hilo jana, Mtaalamu wa Uchumi ambaye pia alipata kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, alikosoa uteuzi wa baraza hilo, ingawa alipongeza kuwapo kwa idadi ndogo ya mawaziri.
Profesa Lipumba alishangaa kitendo cha Rais...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri
9 years ago
CCM Blog10 Dec
RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Baraza dogo la Rais John Magufuli
9 years ago
Bongo510 Dec
Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.
Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Hili ndio Baraza la Magufuli:
1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo
2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Fahamu mambo 10 muhimu ya Baraza la Dk Magufuli
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Baraza dogo la Dk Magufuli laokoa Sh23 bilioni
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Baraza la Dk. Magufuli sawa na ‘strike force’ ya makomandoo?
MOJAWAPO ya maswali ambayo Watanzania wanasubiri kusikia majibu yake ni Baraza la Mawaziri la Rai
Lula wa Ndali Mwananzela
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...