Bavicha yashinikiza kuandaa Mgomo, maandamano
Baraza la Vijana wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo Chadema BAVICHA limetoa saa 72 kwa Bodi ya mikopo nchini kutoa mikopo kwa asilimia 82 ya wanafunzi wa Elimu ya juu waliokosa na kwamba kukiuka agizo hilo watashinikiza mgomo na maandamano nchi nzima.
Bavicha inasema tayari imekwisha andaa mfumo maalumu wa kuendesha zoezi hilo linaolenga kushawishi vijana kupata haki yao ya msingi.
Kauli ya Bavicha imefatia siku chache baada Novemba 6, mwaka huu Jeshi la Polisi nchini kupiga marufuku...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
KGA wajiandaa kwa maandamano, mgomo
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA), wameazimia kufanya mgomo na maandamano ili kuishinikiza serikali kusimamia sheria ya kuwataka mawakala wa utalii wawalipe waongoza...
10 years ago
MichuziKINANA AWAPONDA WAPINZANI KWA TABIA YAO YA KUANDAA MAANDAMANO BADALA YA MANDELEO YA WANANCHI
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Marekani yashinikiza amani Iraq
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Bavicha wakesha wakichaguana
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa
Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
BAVICHA waivaa serikali
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (BAVICHA), limelaani kitendo cha wanafunzi wa darasa la saba kufaulu mitihani yao na kushindwa kupangiwa shule kwa ajili ya kuendelea na...
9 years ago
CHADEMA BlogBAVICHA WATOA TAMKO
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
BAVICHA kushambulia mikoa sita
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), kesho linatarajiwa kuanza operesheni ya kurejesha haki na usawa kwa Watanzania ambao wamenyonywa na kukandamizwa muda mrefu na utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....