BAWACHA Kigoma wapinga majina yaliyoteuliwa Ubunge viti maalumu
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Kigoma mjini wamelalamikia hatua ya kuondolewa kwa Merry Martin katika majina yaliyoteuliwa na Baraza hilo kuwa mbunge wa viti maalumu mkoa wa kigoma wakidai kuwepo maslahi ya watu wachache.
Wajumbe hao wamewatuhumu baadhi ya watendaji wa chama hicho ngazi ya Taifa kupindisha maamuzi ya BAWACHA kwa kuwasilisha mbele ya Tume ya Taifa ya uchaguzi jina la aliyekuwa mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kigoma...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
BAWACHA wapinga uteuzi wa Zubeda Sakuru viti maalumu
Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Ruvuma wamepinga uteuzi wa Zubeda Hassan Sakuru kuwa Mbunge wa Viti Maalum mkoani humo.
Baraza hilo limemuomba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kubatilisha uteuzi alioufanya wa mtu ambaye anatokea mkoani Tanga.
Wanachama wa BAWACHA Baraza la Wanawake wa CHADEMA Mkoa wa Ruvuma wametoa Tamko la pamoja, wapo tayari kutoka CHADEMA endapo uteuzi huo hautabatilishwa.
Wamesema Zubeda Hassan Sakuru siyo mkaazi wa Mkoa...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’
10 years ago
VijimamboMUUZA DAGAA ASHINDA UBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA MARA
Alisema wao watu ambao wamekuwa...
10 years ago
Michuzi17 Jul
MGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU ARUSHA,NEEMA AAHIDI KUINUA VIJANA KIUCHUMI
![SAM_3817](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/W2QmuE8khseuPmjLF3vBAROjkvtlA-H97ypAdXS9GBroqKdBH4hEiu5SLSCmctf_5CgXq3_YCpteu861kpljdlJJRM0U_ZC6cMU2kLH-EB1ayTM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3817.jpg)
Katibu wa vijana umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Arusha mjini Jamali Khimji akimkabidhi fomu ya ubunge viti maalum Bi.Neema Kiusa(27)katika ofisi za umoja huo jijini Arusha, ahaidi kuinua vijana kiuchumi endapo atapata nafasi ya kuwa Mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mgombea ubunge kupita kundi la vijana (UVCCM) Neema Kiusa leo amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Arusha,ambapo amesema kuwa shauku yake kubwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s72-c/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
BINTI YETU AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU (VIJANA) MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s640/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hffb8feDpjs/VaZ8bknsfYI/AAAAAAAAFuU/5lLd7AqIDpw/s640/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
StarTV16 Nov
 BAWACHA Zanzibar wataka marekebisho Ugawaji wa viti maalum
Baraza kuu la wanawake wa CHADEMA Zanzibar latishia kuzishusha bendera zote za chama hicho endapo ugawaji wa viti maalum hautarekebishwa kwa upande wa Zanzibar kwa kile wanachodai kuwa ugawaji haukufuata misingi ya katiba na uwiano.
Makamu mwenyekiti wa baraza hilo Taifa Hamida Abdalla amesema wanachama wa CHADEMA Zanzibar wanashangazwa na hatua za viongozi wao katika uteuzi wa wabunge ambao wanadai hawakubaliani nao.
Wakizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar wakiongozwa na makamu...
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Wabunge viti maalumu badilikeni
9 years ago
Mwananchi08 Nov
47 watoswa viti maalumu CCM, Ukawa
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Vyama vitano vyagawana madiwani viti maalumu