BAWACHA Zanzibar wataka marekebisho Ugawaji wa viti maalum
Baraza kuu la wanawake wa CHADEMA Zanzibar latishia kuzishusha bendera zote za chama hicho endapo ugawaji wa viti maalum hautarekebishwa kwa upande wa Zanzibar kwa kile wanachodai kuwa ugawaji haukufuata misingi ya katiba na uwiano.
Makamu mwenyekiti wa baraza hilo Taifa Hamida Abdalla amesema wanachama wa CHADEMA Zanzibar wanashangazwa na hatua za viongozi wao katika uteuzi wa wabunge ambao wanadai hawakubaliani nao.
Wakizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar wakiongozwa na makamu...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
BAWACHA wapinga uteuzi wa Zubeda Sakuru viti maalumu
Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Ruvuma wamepinga uteuzi wa Zubeda Hassan Sakuru kuwa Mbunge wa Viti Maalum mkoani humo.
Baraza hilo limemuomba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kubatilisha uteuzi alioufanya wa mtu ambaye anatokea mkoani Tanga.
Wanachama wa BAWACHA Baraza la Wanawake wa CHADEMA Mkoa wa Ruvuma wametoa Tamko la pamoja, wapo tayari kutoka CHADEMA endapo uteuzi huo hautabatilishwa.
Wamesema Zubeda Hassan Sakuru siyo mkaazi wa Mkoa...
9 years ago
StarTV16 Nov
BAWACHA Kigoma wapinga majina yaliyoteuliwa Ubunge viti maalumu
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Kigoma mjini wamelalamikia hatua ya kuondolewa kwa Merry Martin katika majina yaliyoteuliwa na Baraza hilo kuwa mbunge wa viti maalumu mkoa wa kigoma wakidai kuwepo maslahi ya watu wachache.
Wajumbe hao wamewatuhumu baadhi ya watendaji wa chama hicho ngazi ya Taifa kupindisha maamuzi ya BAWACHA kwa kuwasilisha mbele ya Tume ya Taifa ya uchaguzi jina la aliyekuwa mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kigoma...
10 years ago
Habarileo11 Apr
ZATCU wataka marekebisho mapunjo ya mshahara
CHAMA cha Walimu Zanzibar (ZATUC) kimeitaka Wizara ya Elimu pamoja na Kamisheni ya utumishi Serikalini kulipatia ufumbuzi tatizo la walimu kuhusu mapunjo ya mishahara yao ambalo limedumu tangu mwaka 2013.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Bawacha wataka fedha za ziara za JK kujenga maabara
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia
SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
ACT Wazalendo wamtaka JK aitishe bunge maalum la marekebisho kunusuru uchaguzi mkuu
Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuitisha Bunge Maalum haraka iwezekanavyo ili ili liweze kufanya marekesho madogo ya katika ili kuruhusu uchaguzi ufanyike kwa uhuru na haki.
Kauli hiyo imetolewa na CHAMA cha Alliance For Change and Transparency...
9 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-csSApYSCG_E/Vj0AJxi9phI/AAAAAAAAMgw/CfQCRZ7Ew2E/s640/3.jpg?width=650)
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Viti maalum vyaivuruga Chadema mikoani