ZATCU wataka marekebisho mapunjo ya mshahara
CHAMA cha Walimu Zanzibar (ZATUC) kimeitaka Wizara ya Elimu pamoja na Kamisheni ya utumishi Serikalini kulipatia ufumbuzi tatizo la walimu kuhusu mapunjo ya mishahara yao ambalo limedumu tangu mwaka 2013.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Nov
 BAWACHA Zanzibar wataka marekebisho Ugawaji wa viti maalum
Baraza kuu la wanawake wa CHADEMA Zanzibar latishia kuzishusha bendera zote za chama hicho endapo ugawaji wa viti maalum hautarekebishwa kwa upande wa Zanzibar kwa kile wanachodai kuwa ugawaji haukufuata misingi ya katiba na uwiano.
Makamu mwenyekiti wa baraza hilo Taifa Hamida Abdalla amesema wanachama wa CHADEMA Zanzibar wanashangazwa na hatua za viongozi wao katika uteuzi wa wabunge ambao wanadai hawakubaliani nao.
Wakizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar wakiongozwa na makamu...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia
SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mshahara wa Messi kufuru
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Mshahara wa dhambi ni mauti!
RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Marekebisho ya Kanuni balaa!
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Walimu Songea walilia mshahara
WALIMU wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameulalamikia uongozi wa manispaa hiyo kwa kushindwa kuwalipa mishahara ya Februari mwaka huu kwa madai kuwa orodha...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Lampard kulipwa mshahara wake
11 years ago
Mwananchi27 May
Pluijm adai mshahara Yanga