Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZATCU wataka marekebisho mapunjo ya mshahara

CHAMA cha Walimu Zanzibar (ZATUC) kimeitaka Wizara ya Elimu pamoja na Kamisheni ya utumishi Serikalini kulipatia ufumbuzi tatizo la walimu kuhusu mapunjo ya mishahara yao ambalo limedumu tangu mwaka 2013.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

 BAWACHA Zanzibar wataka marekebisho Ugawaji wa viti maalum

 

Baraza kuu la wanawake wa CHADEMA Zanzibar latishia kuzishusha bendera zote za chama hicho endapo ugawaji wa viti maalum hautarekebishwa kwa upande wa Zanzibar kwa kile wanachodai kuwa ugawaji haukufuata misingi ya katiba na uwiano.

Makamu mwenyekiti wa baraza hilo Taifa  Hamida Abdalla  amesema wanachama wa CHADEMA Zanzibar wanashangazwa na hatua za viongozi wao  katika uteuzi  wa wabunge ambao wanadai hawakubaliani nao.

Wakizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar wakiongozwa na makamu...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia

Katibu Mtendaji wa Sumatra CCC, Oscar Kikoyo SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.

 

9 years ago

Mwananchi

Mshahara wa Messi kufuru

Manchester, England, Si mchezo! Ndivyo, inavyofaa kueleza mshahara wa Sh2.6 bilioni atakaolipwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi endapo ataamua kutua Manchester City.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mshahara wa dhambi ni mauti!

RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'

Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Marekebisho ya Kanuni balaa!

Marekebisho ya Kanuni za Bunge la Katiba jana yaliwagonganisha vichwa wajumbe kiasi cha kuanza kutambiana katika misimamo ya kiimani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Songea walilia mshahara

WALIMU wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameulalamikia uongozi wa manispaa hiyo kwa kushindwa kuwalipa mishahara ya Februari mwaka huu kwa madai kuwa orodha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Lampard kulipwa mshahara wake

Manchester City watamlipa Frank Lampard mshahara wake wote wakati akimalizia muda wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm adai mshahara Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van Pluijm ameishitaki klabu hiyo kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushindwa kumlipa mshahara wake wa mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani