Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBA: Mtanzania na Mkenya wafungasha virago

Mwakilishi wa kike wa Tanzania, Laveda ameondolewa kwenye mashindano ya Big Brother Africa Jumapili hii. Laveda amekuwa mshiriki wa sita wa kike kuondolewa kwenye mashindano hayo. Mshiriki mwingine aliyetoka leo ni Alusa wa Kenya ambaye amekuwa mwanaume wa kwanza kutoka. Kenya haina tena mwakilishi kwenye shindano hilo. Tanzania imebakiza mshiriki mmoja, Idris Sultan.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Uganda na wengine watatu wafungasha virago, Idris aendelea kupeta

Washiriki wengine wanne wamefungasha virago kwenye Big Brother Hotshots wiki iliyopita. Afrika mashariki imepoteza mshiriki mwingine baada ya Ellah (Uganda) kutolewa. Wengine waliotoka ni Goitse (Botswana), Sheillah (Botswana) pamoja na Trezagah (Msumbiji) ndio washiriki waliotolewa Jumapili (Nov.30) baada ya kupata kura chache. Idris ameendelea kubaki mjengoni baada ya kupata kura za nchi tatu ambazo ni […]

 

11 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Wawakilishi wa Rwanda, Namibia na Ghana wafungasha mizigo

Mshiriki wa Rwanda, Arthur ameungana na washiriki wengine wawili Luis (Namibia) na Kacey (Ghana) waliofungasha mizigo yao baada ya kuondolewa kwenye shindano la Big Big Brother Afrika Jumapili hii. Arthur-Rwanda Rwanda sasa imebakiwa na mshiriki mmoja. Hivi ndivyo kura zilivyopigwa: Macky2: Mozambique, Rest of Africa, Zambia Frankie: Kenya, Tanzania, Uganda Sheillah: Botswana, Nigeria, South Africa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamtupia virago Kaseja

Hatimaye uongozi wa Yanga umetangaza rasmi kuachana na kipa wake Juma Kaseja wakisema kuanzia sasa ni mchezaji huru. Awali kipa huyo mkongwe aliamua kuipa kisogo timu hiyo akilalamikia kutolipwa sehemu ya fedha zake za usajili pamoja na bima ya afya yake.

 

10 years ago

GPL

MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
KIMENUKA! MKEwa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki amenaswa akifungasha virago nyumbani kwake Mwananyamala-Hospitali na kuelekea kwa wazazi wake maeneo ya Mbagala jijini Dar akidai kuchoshwa na tabia za mumewe huyo, Ijumaa lina ‘full’ stori. Mkewa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki akiwa na mizigo yake. Akizungumza na mapaparazi wetu, Salma...

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho atupiwa virago Chelsea

mourinho-jose-424737LONDON England

CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.

Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.

Kufungwa na vinara wa ligi...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yamtupia virago Omog

Hatimaye Azam imemtimua kocha wake Mcameroon Joseph Omog ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa na El Merreikh ya Sudan kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

 

10 years ago

Michuzi

Azam yamfungashia virago kocha wake

SIKU mbili  baada ya kufungashiwa virago vyao kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika, uongzi wa Azam umefumua benchi lake la ufundi na kumtupia virago kocha wao Joseph Omong.
Katika taarifa ya uongozi huo waliyotoa jioni jioni hii,uongozi huo haujatoa sababu yoyote  ya kuachana na Omong ambaye wamekuwa nae kwa miezi 14.
Hata hivyo habari ambazo Globu ya Jamii imezipata zinasema kuwa uongozi wa Azam umeamua kumtupia virago Omong kutokana na kufanya vibaya kwenye michuano ya Klabu bingwa Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea yafuzu, Mali yabeba virago.

Baada ya droo kufanywa ,Guinea imefuzu katika robo fainali ya kombe la mataifa ya Afrika huku Mali ikibeba virago.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maximo rasmi atupiwa virago yanga

Klabu ya Yanga imewatupia virago rasmi makocha wabrazil Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva kwa matokeo mabavu ya klabu hio

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani