BBA: Mtanzania na Mkenya wafungasha virago
Mwakilishi wa kike wa Tanzania, Laveda ameondolewa kwenye mashindano ya Big Brother Africa Jumapili hii. Laveda amekuwa mshiriki wa sita wa kike kuondolewa kwenye mashindano hayo. Mshiriki mwingine aliyetoka leo ni Alusa wa Kenya ambaye amekuwa mwanaume wa kwanza kutoka. Kenya haina tena mwakilishi kwenye shindano hilo. Tanzania imebakiza mshiriki mmoja, Idris Sultan.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Dec
BBA Hotshots: Uganda na wengine watatu wafungasha virago, Idris aendelea kupeta
11 years ago
Bongo503 Nov
BBA Hotshots: Wawakilishi wa Rwanda, Namibia na Ghana wafungasha mizigo
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yamtupia virago Kaseja
10 years ago
GPL
MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Azam yamtupia virago Omog
10 years ago
Michuzi
Azam yamfungashia virago kocha wake

Katika taarifa ya uongozi huo waliyotoa jioni jioni hii,uongozi huo haujatoa sababu yoyote ya kuachana na Omong ambaye wamekuwa nae kwa miezi 14.
Hata hivyo habari ambazo Globu ya Jamii imezipata zinasema kuwa uongozi wa Azam umeamua kumtupia virago Omong kutokana na kufanya vibaya kwenye michuano ya Klabu bingwa Afrika...
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Guinea yafuzu, Mali yabeba virago.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Maximo rasmi atupiwa virago yanga