Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BHARAT JAIN, OMBAOMBA ALIYEVUNJA REKODI KWA UTAJIRI DUNIANI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVNI kiasi gani cha fedha unatengeneza kwa mwaka? au mwezi? inaweza kuwa ni mamilioni ya fedha ila inashangaza kuona watu wanaoomba fedha barabarani wanatengeneza fedha kukuzidi, na inafikirisha sana juu ya nguvu waitumiayo ombaomba kuzunguka barabarani hadi kuufikia utajiri na kuvunja rekodi.
Bharat Jain (53) raia wa India anaelezwa kuwa ndiye ombaomba tajiri zaidi aliyewahi kutokea ulimwenguni, Jain anatokea Mumbai na shughuli zake za kuomba msaada huzifanya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI

Japan imevunja rekodi hiyo kwa kuwa na treni ya mwendo kasi wa kilomita 590 kwa saa iliyowekwa wiki iliyopita katika jaribio lingine. Treni ya maglev ambayo haitegemei kugusana na chuma ndio itembee bali inaendeshwa kwa nguvu ya umeme, inatumia sumaku zilizochajiwa kwa umeme kunyanyua na kuvuta mabehewa juu ya njia ya reli. Treni ya Kati ya Japan, JR Central, ambayo inamiliki treni hizo, inataka kuanzisha huduma yake kati ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI

Ukifatilia vizuri washindi wa Ballon d’Or tuzo ya mchezaji bora wa dunia Michael Owen, Ronaldinho Gaucho na Ricaldo Kaka wote walikua wakivaa jezi namba 10.Moja ya kukua kwa umaarufu wa jezi no. 10 ni kuwahi kuvaliwa na wachezaji bora wa muda wote Ulimwenguni, Pele pamoja na Diego Armando Maradona. Pia wachezaji wanaowika sasa Lionel Messi, Neymar na Wayne Rooney wote wanavaa jezi namba 10.

Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAFAHAMU WAHALIFU WALIOVUNJA REKODI YA KUMILIKI MAMILIONI YA PESA DUNIANI


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LINAPOKUJA suala la kutengeneza fedha sio kila mtu atatengeneza fedha kwa njia halali, baadhi ya wahalifu ulimwenguni wamefahamika zaidi kutokana na umiliki wao wa pesa nyingi zilizopatikana kwa njia isiyo ya halali, wengi wao wamekuwa wakipata pesa kupitia biashara haramu ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya, kuendesha mitandao ya ngono, uuzaji wa binadamu, ujangili na hata kutumia silaha ili kujipatia mali.
Licha ya shughuli zao kuwaweka katika hatari kubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

5 years ago

Bongo5

The Fate of the Furious yavunja rekodi ya box office duniani, yaingiza $532m

Filamu ya kampuni ya Universal Pictures‘ The Fate of the Furious imevunja rekodi kwakuwa na ufunguzi mkubwa zaidi wa muda wote baada ya kuingiza dola milioni 532 kwenye majumba ya sinema duniani mwishoni mwa wiki.

Kiasi hicho ni $98.8m toka Marekani na Canada $433.2m toka nchi zingine 63 mwishoni mwa wiki. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Star Wars: The Force Awakens iliyoingiza $529m.

The Fate of the Furious imeifanya Universal ifikishe dola bilioni 1 za makusanyo ya kimataifa ya filamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Chama cha wazee chakerwa kuzagaa kwa ombaomba mitaani

Serikali imetakiwa kuwaondoa kwa nguvu ombaomba wote mitaani kwani kuwaacha ni kuwadhalilisha na kudumaza maendeleo ya familia zao, ikiwa ni pamoja na kujenga hisia kwa watoto kuwa kuomba mitaani ni mojawapo ya ajira sahihi.

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli’s Swachh Bharat Abhiyaan

The pictures spoke more than a thousand words! Tanzania’s newly elected President, John Magufuli, literally took to the streets and rallied his countrymen to join in his public clean-up operation to mark the country’s 54th Independence Day.

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Yanga, Dr. Jonas Tiboroa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kulia ni Mkuu wa kitengo cha habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro.
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...

 

10 years ago

Mtanzania

Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania

mohammed-dewjiRostamMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani