BHARAT JAIN, OMBAOMBA ALIYEVUNJA REKODI KWA UTAJIRI DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-7DuOzikxmPA/XsZpbrwzoFI/AAAAAAALrGw/eTy99KnrfloM_VuPgQ1rQfEpNXuMLbRwwCLcBGAsYHQ/s72-c/Richer-but-Beggar-Indias-Top-5-richest-beggars-6.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVNI kiasi gani cha fedha unatengeneza kwa mwaka? au mwezi? inaweza kuwa ni mamilioni ya fedha ila inashangaza kuona watu wanaoomba fedha barabarani wanatengeneza fedha kukuzidi, na inafikirisha sana juu ya nguvu waitumiayo ombaomba kuzunguka barabarani hadi kuufikia utajiri na kuvunja rekodi.
Bharat Jain (53) raia wa India anaelezwa kuwa ndiye ombaomba tajiri zaidi aliyewahi kutokea ulimwenguni, Jain anatokea Mumbai na shughuli zake za kuomba msaada huzifanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s72-c/download%2B%25283%2529.jpg)
FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s400/download%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4ZXslWH2Yc/VY6nv4vVhOI/AAAAAAAACRs/-iuHpOH2dLY/s400/rooneysoccer-friendly-international-champions-cup-final-liverpool-vs-manchester-united-850x560.jpg)
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s72-c/askari%252Bpic.jpg)
WAFAHAMU WAHALIFU WALIOVUNJA REKODI YA KUMILIKI MAMILIONI YA PESA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s640/askari%252Bpic.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LINAPOKUJA suala la kutengeneza fedha sio kila mtu atatengeneza fedha kwa njia halali, baadhi ya wahalifu ulimwenguni wamefahamika zaidi kutokana na umiliki wao wa pesa nyingi zilizopatikana kwa njia isiyo ya halali, wengi wao wamekuwa wakipata pesa kupitia biashara haramu ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya, kuendesha mitandao ya ngono, uuzaji wa binadamu, ujangili na hata kutumia silaha ili kujipatia mali.
Licha ya shughuli zao kuwaweka katika hatari kubwa...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO
5 years ago
Bongo514 Feb
The Fate of the Furious yavunja rekodi ya box office duniani, yaingiza $532m
Filamu ya kampuni ya Universal Pictures‘ The Fate of the Furious imevunja rekodi kwakuwa na ufunguzi mkubwa zaidi wa muda wote baada ya kuingiza dola milioni 532 kwenye majumba ya sinema duniani mwishoni mwa wiki.
Kiasi hicho ni $98.8m toka Marekani na Canada $433.2m toka nchi zingine 63 mwishoni mwa wiki. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Star Wars: The Force Awakens iliyoingiza $529m.
The Fate of the Furious imeifanya Universal ifikishe dola bilioni 1 za makusanyo ya kimataifa ya filamu...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Chama cha wazee chakerwa kuzagaa kwa ombaomba mitaani
9 years ago
TheCitizen27 Dec
Magufuli’s Swachh Bharat Abhiyaan
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/katibu-yanga.jpg)
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...