Bifu zito Simba SC
NI wazi mchuano katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba unazidi kuibua visasi, baada ya jana baadhi ya wagombea kununiana na kukataa kupeana mikono walipokutana kwenye ukumbi wa Gymkhana jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZfntVAW0VB9W-fSQBw80l8g-ceelZ7u8vWWaqQ4-sbrF57bK9iDns26ATAyFbhXf4FDpW2JjlWWKQbD8wpu4-a-/rose.jpg)
ROSE, CHAZ BABA BIFU ZITO
11 years ago
Mwananchi11 May
Wingu zito latanda Simba
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Kerr ampa jukumu zito Hanspope Simba
NA SAADA SALIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, ameipa jukumu zito kamati ya usajili ya klabu hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti, Zacharia Hanspope, kuhakikisha wanasajili mshambuliaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ina washambuliaji; Khamis Kiiza, Ibrahim Ajibu, Elias Maguli na Mussa Hassan ‘Mgosi’, lakini agizo hilo la kocha limetokana na ubutu ulioonekana katika timu yake.
Katika mchezo wake wa Jumamosi dhidi ya Sports Club Villa Uwanja wa Taifa, Simba...
10 years ago
Mtanzania07 Nov
Wingu zito IPTL
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
WINGU zito limeendelea kutanda kuhusu uchunguzi wa sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kusema hajapokea taarifa yoyote ya uchunguzi wa Sh bilioni 200 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Alisema kama angekuwa ameipokea kamwe haoni sababu ya kukaa nayo kimya.
Alisema pindi akiipokea taarifa hiyo ataiwasilisha kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda kama utaratibu unavyotakiwa.
Pinda alitoa kauli hiyo bungeni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3c2lOlaPEg7vuy4aMtjOMkYxA8FfC1v3cG2WmOz5Trl2FcsBhhskqgiJtrcbOlmwuU9LMOMHCKJj-NIIi3rG-h4/Magufuli.gif?width=650)
MAGUFULI AUNDIWA ZENGWE ZITO
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Muhongo atoa agizo zito
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Kafulila: Nina bomu zito la Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kafulila-06Jan%202015.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema kwamba analo bomu lingine kuhusu sakata ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Mbunge huyo amesema bomu hilo likilipuka litaitikisa serikali na vigogo waliohusika katika kashfa hiyo, akiwamo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Kafulila amesema kutokana na...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-SoyjkWsKcd4/U_79sfCOXJI/AAAAAAAABkw/NHD4ajQ1nnQ/s72-c/Jakaya-June12-2014.jpg)
Kikwete atoa agizo zito Morogoro
SERIKALI imewaagiza viongozi wa wilaya ya Mvomero na mkoa wa Morogoro kukaa pamoja kujadili tatizo la wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kushindwa kumaliza kidato cha nne kwa idadi ile ile.
Agizo hilo lilitolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati akiwahutubia wananchi wa kata ya Kibati, wilayani Mvomero akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo.
Rais Kikwete alisema amelazimika kutoa agizo hilo baada ya kupata taarifa kuwa wanafunzi 3,060 kati ya 5,255 walioanza kidato cha kwanza mwaka...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Ugaidi’ Tanga bado wingu zito
Amina Omari, TANGA na Fredy Azzah, Dar
ZIKIWA zimepita siku sita tangu tukio la polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kurushiana risasi kwa takribani saa 48 na watu wanaodaiwa kuwa ni kikundi cha uporaji silaha, wingu zito limeendelea kutanda juu ya suala hilo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Paul Chagonja, kutoa kauli katika moja ya mikutano na waandishi wa habari na kudai tukio hilo limehusisha vijana aliowaita...