Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal: Rais ajaye amhofie Mungu

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal akimpongeza Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya baada ya kusimikwa kwenye sherehe iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mjini Dodoma jana. (Picha na Sifa Lubasi).MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Ghalib Bilal amesema kigezo kikuu cha Rais ajaye ni kuwa mwenye hofu ya Mungu na Serikali itahakikisha Uchaguzi Mkuu unafanyika kwa misingi ya haki na amani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Mungu pekee anamjua Rais ajaye

Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambaye alitangaza “kimya kimya” nia ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, jana alichukua fomu kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho, akisema “ni Mungu pekee ambaye anamjua Rais” wa Serikali ya Awamu ya Tano.

 

10 years ago

Mwananchi

Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye

Spika wa Bunge, Anne Makinda amewataka wabunge kujadili ripoti ya Escrow bila kuingiza hisia za uchaguzi mkuu ujao na ushabiki wa wagombea kwa kuwa rais ajaye Mungu pekee ndiye anayemjua.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA HAFLA YA UCHANGISHAJI FEDHA KWA AJILI YA UHIFADHI WA VYANZO VYA MAJI KATIKA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME YA MTERA, KIHANSI, KIDATU, NYUMBA YA MUNGU NA PANGANI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani. Hafla hiyo ilifanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

JK azungumzia Rais ajaye


NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataja changamoto za rais ajaye

IMGL2468

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.

Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.

Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...

 

10 years ago

GPL

NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!

UCHAGUZI Mkuu wa tano wa Tanzania katika mfumo wa vyama vingi vya siasa unatazamiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Ingawa haijafahamika tarehe wala ni nani hasa atapewa nafasi hiyo ya kumrithi Jakaya Kikwete, angalau majina kadhaa yanatajwa, kutoka kambi zote. Wapo wanaotajwa kutoka CCM na kambi ya upinzani kwa ujumla wao, ambao kwa jinsi tunavyoendelea, ni wazi kuwa watawakilishwa na mgombea kutoka kundi la Ukawa. Kiuhalisia, hawa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira

Taarifa za Taasisi ya Taifa ya Takwimu kuwa uchumi wetu unakua kwa kasi ya juu ya wastani wa asilimia 6 - 7 kila mwaka kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita haiaminiwi na wananchi wengi kwa sababu vijana wao hawana ajira.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba: Rais ajaye anafahamika

Wakati Taifa zima likiwa katika kitendawili cha kumjua kiongozi wa nchi atakayepatikana baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Rais ajaye anafahamika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani