Bilal: Rais ajaye amhofie Mungu
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Ghalib Bilal amesema kigezo kikuu cha Rais ajaye ni kuwa mwenye hofu ya Mungu na Serikali itahakikisha Uchaguzi Mkuu unafanyika kwa misingi ya haki na amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Pinda: Mungu pekee anamjua Rais ajaye
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s72-c/1b.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA HAFLA YA UCHANGISHAJI FEDHA KWA AJILI YA UHIFADHI WA VYANZO VYA MAJI KATIKA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME YA MTERA, KIHANSI, KIDATU, NYUMBA YA MUNGU NA PANGANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s640/1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-loDv1slsg_g/Vgpxy_YFZlI/AAAAAAAH7uo/9VFKPRBVUdU/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ8uDF5zpZ-0R46oQG1XThuXJiBccg6zTtcU11g3VGWsDZ3OdST76RTDp5rTuublqJ4EgfoXbPph4kcDLllyPklt/jakayakikwete1.jpg?width=650)
NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!
10 years ago
Habarileo09 Oct
‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’
MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Jaji Warioba: Rais ajaye anafahamika