Binti wa miaka 2 India shujaa wa karne kulenga mishale
Dressing yourself. Remembering to say ‘please’ and ‘thank you’. These are the usual achievements of your average 2-year-old.
Step forward Dolly Shivani Cherukuri. Nine days before her third birthday, the eagle-eyed archer became the youngest Indian to score more than 200 points at a trial event, according to the India Book of Records.
Dolly scored a total of 388 points. She began by firing 36 arrows at a target 15 feet away, then shot 36 more, this time from 21 feet.
The young...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Wamuua binti kwa 'kosa la ndoa' India
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Binti wa miaka 19 auawa Detroit
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wH1dAkSgA3AnJjLfz55wJHjzrkoRp6dEqLDNeoiu4Dg4j5Rr-n0Ixxsf7Bznzh129na-OW*8dgmx9EuKktdW0j2/bint.jpg)
BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NC-SjOnOt3x99ZlK81uLU-izWj1n2kURB6T5pI5dKStoYYrY-F0yXBikcnmm3DYISqDRqn6-QLis96S1axrq4-/freemason.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 16 ATOA SIRI ZA FREEMASON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyEN*hGdDGxZ8VImMZdOrdLWMAVYMadMsdJfoxuAkHWN*reTbft0LRXr6LPbwldTx8GTXz2q3PI8Yq6wZXvvlAG/Lulu.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI
10 years ago
Habarileo02 Mar
Wazazi waliooza binti wa miaka 10 kortini
WAZAZI wa mtoto mwenye umri wa miaka 10 aliyeozwa kwa siri wilayani Bahi, katika Mkoa wa Dodoma, wanafikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili.
11 years ago
Habarileo13 Feb
Dada amsaidia kaka kunajisi binti wa miaka 12
MKAZI wa mtaa wa Tambukareli wilayani Mpanda, Helen Simon (20) anashikiliwa Polisi na kaka yake, Afred Mnyonge (24) kwa tuhuma za kumsaidia kaka huyo kumnajisi msichana jirani yao, mwenye umri wa miaka 12.
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.