BODABODA AMSHIKA AFANDE KALIO,AKIONA!!
![](http://api.ning.com:80/files/Lf1B3Uv2G4uzkWppCC6VVCstbBLFCgUkIABbLnHT9wcQOpqLgVnMz1h6X2DDr4XhI8LlqWIgcwaEbBF4gMk1uViJsn5F1zd7/bodabodacopy.jpg?width=650)
Dustan Shekidele, Moro Kibano! Mwendesha pikipiki almaarufu bodaboda aliyetajwa kwa jina la Juma Abdallah amekula kibano baada ya kudaiwa kumdhalilisha afande wa kike wa Jeshi la Zima Moto mkoani hapa, Winnifrida Kachota kwa kumshika kalio hivyo kuibua timbwili zito. Wananchi na bodaboda wenzake waliokuwa wakimtetea mwenzao. Tukio hilo lililoibua vita kubwa lilijiri nje ya ofisi ya Zima Moto mkoani hapa mwishoni mwa wiki...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPxchnY-dwxrDRwyptpBCFiJQkQAR4czjmBJM4g-etTBqYAqT-yUg9xihcVNG3mfSEz8T2JqeoE4UO6S4PCKmuOy/1.jpg?width=650)
AFANDE AACHA LINDO KUSAKA BODABODA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUMh-Kn3FZgjUQkL2P7S-Y9HKdzKh9-EEFfgvAWcgOkP-z9gUHFkjazI7-qLTFnMNGyJaIZVEH8h19Px4A5hGP8/masocopy.jpg?width=650)
KALIO LA MASOGANGE LALETA AJALI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgSx6UpEtSG2IpaVaMp-Lqr0wKSbOnSiy-qsjl8bxTGyJEVyB56gvjx9LwEo*6LFp3Z-RJnKbfUTaB1O2KAgCboO/MTUNUSI.jpg)
MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Mwalimu aliyetelekeza watoto akiona cha moto
Na Nathaniel Limu, Singida
MWALIMU wa shule za msingi mstaafu wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Julius Ezekiel Magandi, ameamriwa na mahakama ya mwanzo Utemini mjini hapa, kulipa/kutoa shilingi laki moja kila mwezi ikiwa ni gharama ya kutunza watoto wake wawili aliowatelekeza.
Mahakama hiyo imemwamuru mwalimu Magandi kuanza kutekeleza amri hiyo kuanzia Januari mwaka huu hadi hapo watoto hao watakapofikisha umri wa miaka 18.
Hakimu wa mahakama hiyo Ferdinard Njau, alisema mwalimu Magandi...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Gigy amtambia Wema kwa kalio lake
Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Na Mayasa Mariwata
MSANII anayechipukia kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ‘amejivua’ akili kwa kumtambia staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu kuwa si chochote kwake kwani hawezi kumfikia kwa umbo lake hususan kalio.
Wema Sepetu.
Akipiga stori na kona ya Bongo Movies, Gigy ambaye pia ni ‘muuza nyago’ kwenye video za Kibongo alisema kuwa ana kila sababu inayomfanya kujitambia kwa umbo lake ambalo linawateka hasa wanaume wakware.
“Kuna siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R1kSp2CDEW8ekiUTvI2iKNGFBOKGLZspxsNDps40l5-z0ulwCdmi*dkEWlpUMlRHRfUsJGgQ4hJoEHzh5k4-FeW/babymadaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA AMSHIKA UCHAWI DIAMOND
10 years ago
Mtanzania19 May
Profesa Mwandosya amshika pabaya Dk. Slaa
Na Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya ‘amemvaa’ Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa na kusema kwamba kiongozi huyo amekosa uzalendo kwa hatua yake ya kuizungumza vibaya Tanzania akiwa nje ya nchi.
Profesa Mwandosya alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora, Uhusiano na Uratibu kwa mwaka wa fedha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFKYgFSuZ1XJkwHL55RMqI6Ly8LyPBY7kHhPMNxgX-yvFqpoUS8OoioZcLnW6jcyO3*O0PZFW407oSZFS94UW2fL/wastara.jpg)
WASTARA APORWA POCHI NA MUMEWE,AMKIMBIZA, AMPATA AMSHIKA NYETI
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA