Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BODABODA AMSHIKA AFANDE KALIO,AKIONA!!

Dustan Shekidele, Moro Kibano! Mwendesha pikipiki almaarufu bodaboda aliyetajwa kwa jina la Juma Abdallah amekula kibano baada ya kudaiwa kumdhalilisha afande wa kike wa Jeshi la Zima Moto mkoani hapa, Winnifrida Kachota kwa kumshika kalio hivyo kuibua timbwili zito. Wananchi na bodaboda wenzake waliokuwa wakimtetea mwenzao. Tukio hilo lililoibua vita kubwa lilijiri nje ya ofisi ya Zima Moto mkoani hapa mwishoni mwa wiki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AFANDE AACHA LINDO KUSAKA BODABODA

Afande akiwa amemdhibiti dereva wa bodaboda. Wasamaria wema wakijaribu kumbembeleza afande. Aafande akiwa…

 

10 years ago

GPL

KALIO LA MASOGANGE LALETA AJALI!

Imelda mtema Makubwa! Lile kalio la haja la muuza nyago maarufu kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ limesababisha ajali kati ya bodaboda na Bajaj maeneo ya Sinza-Mori baada ya mrembo huyo kushuka kwenye gari akielekea saluni. Agness Gerald ‘Masogange’ akiwa katika pozi. Shuhuda wa tukio hilo alisema kuwa bodaboda ilikuwa ikitokea upande wa Baa ya Meeda na Bajaj ilikuwa...

 

10 years ago

GPL

MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
MSANII nyota wa filamu Bongo, Nice Mohammed  maarufu kama Mtunisi amekiona cha moto mahakamani baada ya kunyimwa dhamana na kutupwa mahabusu  katika gereza la Segerea jijini Dar es Salaam. Msanii nyota wa filamu Bongo, Nice Mohammed maarufu kama Mtunisi. Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwalimu aliyetelekeza watoto akiona cha moto

DSC07091

Na Nathaniel Limu, Singida

MWALIMU wa shule za msingi mstaafu wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Julius Ezekiel Magandi, ameamriwa na mahakama ya mwanzo Utemini mjini hapa, kulipa/kutoa shilingi laki moja kila mwezi ikiwa ni gharama ya kutunza watoto wake wawili aliowatelekeza.

Mahakama hiyo imemwamuru mwalimu Magandi kuanza kutekeleza amri hiyo kuanzia Januari mwaka huu hadi hapo watoto hao watakapofikisha umri wa miaka 18.

Hakimu wa mahakama hiyo Ferdinard Njau, alisema mwalimu Magandi...

 

9 years ago

Global Publishers

Gigy amtambia Wema kwa kalio lake

Giggy MoneyGift Stanford ‘Gigy Money’.

Na Mayasa Mariwata

MSANII anayechipukia kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ‘amejivua’ akili kwa kumtambia staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu kuwa si chochote kwake kwani hawezi kumfikia kwa umbo lake hususan kalio.

wema sepetuu78Wema Sepetu.

Akipiga stori na kona ya Bongo Movies, Gigy ambaye pia ni ‘muuza nyago’ kwenye video za Kibongo alisema kuwa ana kila sababu inayomfanya kujitambia kwa umbo lake ambalo linawateka hasa wanaume wakware.

“Kuna siku...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AMSHIKA UCHAWI DIAMOND

Na Mayasa Mariwata
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘amemshika uchawi’ msanii mwenzake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kufuatia madai kuwa, kuna msanii maarufu Bongo alikwenda kwa mganga wa kienyeji Tanga akitaka kumfanyizia ‘madongoloji’ mrembo huyo ili mambo yake yaende ndivyo sivyo. Baby Joseph Madaha. ILIKUWAJE KWANI?
Desemba 22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma...

 

10 years ago

Mtanzania

Profesa Mwandosya amshika pabaya Dk. Slaa

MwandosyaNa Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya ‘amemvaa’ Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa na kusema kwamba kiongozi huyo amekosa uzalendo kwa hatua yake ya kuizungumza vibaya Tanzania akiwa nje ya nchi.
Profesa Mwandosya alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora, Uhusiano na Uratibu kwa mwaka wa fedha...

 

10 years ago

GPL

WASTARA APORWA POCHI NA MUMEWE,AMKIMBIZA, AMPATA AMSHIKA NYETI

Tunaendelea na Exclusive Interview ya mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Hakukata tamaa, anaendelea kudunda hadi leo. Mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Wiki iliyopita tuliishia hapa:
“Baada ya kuwa na ujauzito wazazi wangu waliamua kunichukua nikaenda kukaa nao Zanzibar lakini nikawa nateseka sana ambapo mama yangu aligundua na kusema nije Dar...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani